Picha plzNauza jumla ndani ya box viko kumi... 200,000/=
Reja reja nauza kimoja 27,500/=
NB: kikisumbua kirudishe nikupe kingine nipo siriasi na kazi yangu hii endelevu.
Nipo kariakoo aggrey na likoma
Pamoja na kibaha
Delivery ipo hela kidogo
Namba
0712583157
Ina whatsapp pia
Ha haaaa mkuu ndio maana waanawaita wa mkoaniDuhh. Mimi nikajua ni tochi kumbe ni simu bwana [emoji848]
Mwaka gani mkuuIko Poa Hii,Nitakutafutaga
Laini mbili mkuu kina kaaa na chaaji siku nzima mpaka mbili na zaidiVipo fresh sana.....Tatizo lako hujatoa hata specifications zake watu tujue....yaani battery capacity, charger unapewa, ni line ngapi, n.k ......
Mkuu unataka nirudi kigomaaNiuzie kimoja nina 25000 sasa hivi
Duh kimpya hico sealed20k chap
Jibu swali la mdau hapa...!Vipo fresh sana.....Tatizo lako hujatoa hata specifications zake watu tujue....yaani battery capacity, charger unapewa, ni line ngapi, n.k ......
Nimeshamjibu anapewa kila kitu kwa sababu iko sealedJibu swali la mdau hapa...!
Ram 4Ameuliza specifications zake sijaona hilo jibu ndugu...!
Au in short ungepiga picha box kwenye eneo la specifications ukaweka hapa itakuwa sawa kabisa.
.Mikoani kama kawaidaView attachment 2775039