Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Hiyo hesabu sijui katumia calculator ganitumia busara kukosoa.
mwanao akifail utamtukana au utampoza na kumkosoa kwa maarifa?
1290-990= 30!!!
ngoja niangalie logarithimimic table
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila gari ina umuhimu wake, wadau wengi wanaandikia sifa au kulingana na uwezo wao. mimi natumia gari yenye cc1 100 na yenye cc 2700. kila moja ina umuhimu wake muda flani. hiyo ya cc 2700 haina maana sana misele ya katikati ya jiji..ila nikienda nje ya jiji ndio umuhimu wake ninauona.Duh mie nawaza kuhamia kwenye cc 2500 na kuendelea kutoka kwnye hii cc 2000 ya sasa... gari zenye cc kubwa pamoja na consuption kubwa ya mafuta lakn ukiwa unalipush unaskia kbsa kuwa kuna kitu unakiendesha...ni gari zinakuwa na nguvu sana ..Inshallah one day tafika huko kwnye cc mpka 4000
Hesabu za sayari gani hizi?Inaweza kua imekaa kiukakasi, but Honestly ujafikia hatua ya kununua Gari.
Pambana kwanza na Maisha Mengine.
Huwezi kua na judgement ya Cc990 na Cc 1290...hata kwa hesabu tu hapo tofauti ni 30Cc sasa hii ndio unasave nini.
Means:
Cc 990 itakua inaenda 1ltr to 15km,
If you divide 15km to 990Cc
Itakua 1Cc inaenda kwa 0.015Km
So ile diff yetu, 30Cc * 0.015
=0.45
Hata 1km haijafika.
Nilikuwa na kagar Kama hako ila mm Ni 990 cc Ni kagumu Sana nakakumbuka Sana katika bia hata ukikagonga hakana tabu unakanyoosha swafi sio haya mabox ukigonga likipasuka lazima ulishoneNina Vitz ina 997 cc its very economical bro na ina himili mikiki sana (roho ngumu) kuliko ISt.. kama unataka more clarity zama PM afisa
Ni kweli kabisa Lita moja Ni 18km kwa hz luti za dar Moro tanga upati tabu ya mafuta yaaanGugo mkuu mbona rahis tuu,sjawai kua na ka bebi woka ila nahis kwa hesab za haraka haraka na uzoef nahis kwa 900-1300 hiz gar znatumia km zaid ya 17 or 18 kwa lita,..variables kama folen na kadhalika sja consider hapo
Inaweza kua imekaa kiukakasi, but Honestly ujafikia hatua ya kununua Gari.
Pambana kwanza na Maisha Mengine.
Huwezi kua na judgement ya Cc990 na Cc 1290...hata kwa hesabu tu hapo tofauti ni 30Cc sasa hii ndio unasave nini.
Means:
Cc 990 itakua inaenda 1ltr to 15km,
If you divide 15km to 990Cc
Itakua 1Cc inaenda kwa 0.015Km
So ile diff yetu, 30Cc * 0.015
=0.45
Hata 1km haijafika.
Duh mie nawaza kuhamia kwenye cc 2500 na kuendelea kutoka kwnye hii cc 2000 ya sasa... gari zenye cc kubwa pamoja na consuption kubwa ya mafuta lakn ukiwa unalipush unaskia kbsa kuwa kuna kitu unakiendesha...ni gari zinakuwa na nguvu sana ..Inshallah one day tafika huko kwnye cc mpka 4000
Nina Vitz ina 997 cc its very economical bro na ina himili mikiki sana (roho ngumu) kuliko ISt.. kama unataka more clarity zama PM afisa