Vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa?

Vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa?

New world

Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
18
Reaction score
5
Salaam wakuu! Naombeni msaada wenu ni vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa unga(sembe + dona). wenye udhoefu naombeni mnijuze aina bora ya mashine, wapi naweza pata, changamoto zake, vitu muhimu vinavyoitajika kufanikisha huu mradi. Na masoko ya unga wa sembe yalivyo
Nakaribisha maoni yenu wana JF
 
Mdau tafuta humu ndani tiliijadili mno kwa marefu na mapana.
Ukiipata hiyo thread maswali yako yote yatajibiwa.
 
Salaam wakuu! Naombeni msaada wenu ni vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa unga(sembe + dona). wenye udhoefu naombeni mnijuze aina bora ya mashine, wapi naweza pata, changamoto zake, vitu muhimu vinavyoitajika kufanikisha huu mradi. Na masoko ya unga wa sembe yalivyo
Nakaribisha maoni yenu wana JF

nenda ofisi za sido utapata mashine nzuri, tahadhari usinunue hizi mashine za Dukani. Kama upo Dar nenda kwenye maonesho ya 7.7 wapo sido. Mashine nzuri ya kusaga ni kinu 100 na ya kukoboa rola 3.
 
Salaam wakuu! Naombeni msaada wenu ni vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa unga(sembe + dona). wenye udhoefu naombeni mnijuze aina bora ya mashine, wapi naweza pata, changamoto zake, vitu muhimu vinavyoitajika kufanikisha huu mradi. Na masoko ya unga wa sembe yalivyo
Nakaribisha maoni yenu wana JF

Nimeifanya hii biashara na mpaka november 2017 niliposimama! Nitakupa ABC za hii biashara kesho nikipata nafasi! Uwe mvumilivu..
 
Nimeifanya hii biashara na mpaka november 2017 niliposimama! Nitakupa ABC za hii biashara kesho nikipata nafasi! Uwe mvumilivu..
MKUU LETE UZOEFU WAKO, TUPO AMBAO TUNATAKA KUINGIA KWENYE MRADI HUSIKA, UTATUFAA SANA KUTUPA ABC
 
MKUU LETE UZOEFU WAKO, TUPO AMBAO TUNATAKA KUINGIA KWENYE MRADI HUSIKA, UTATUFAA SANA KUTUPA ABC
Mkuu biashara yeyote usitake kushindwa kuanzisha kisa mwingine either alifanikiwa au alishindwa
Biashara yeyote inakuhitaji wewe mwenyewe utajitoa Kwa kiasi gani

Njoo nikushauri 0762612213 tutakuuzia Mashine na kukusaidia

Sido ipo kwa ajili ya watanzania ogopa woga au lolote likabili
 
Mkuu biashara yeyote usitake kushindwa kuanzisha kisa mwingine either alifanikiwa au alishindwa
Biashara yeyote inakuhitaji wewe mwenyewe utajitoa Kwa kiasi gani

Njoo nikushauri 0762612213 tutakuuzia Mashine na kukusaidia

Sido ipo kwa ajili ya watanzania ogopa woga au lolote likabili
SAWA MKUU NITAKUTAFUTA
 
Njooni mnipe ABC na Mimi nataka kuingia kwenye biashara hii,SIDO popote mlipo njooni,sitaki madalali wa SIDO.
 
Ni biashara tamu sana. Hufi njaa, hukosi hela. Usimamizi rahisi. Mwaka wa 3 nakula faida
 
Back
Top Bottom