Vitu gani unavyovihofia zaidi maishani ambayo ni vya asili?

Vitu gani unavyovihofia zaidi maishani ambayo ni vya asili?

Craig

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
1,512
Reaction score
2,712
Habari za Majukumu Wana JF kichwa cha habari kinahusika kama mnavyojua maisha yamejaa kuogofya kiasi kwamba hata uwe na mabaunsa lakini huwezi KUKOSA hofu moyoni.

Binafsi woga nilionao MAISHANI ni Uzee na Kifo maana najua hakuna aliwahi kwepa. Uzee unakuja bila hodi mdogo mdogo kadri umri unavyokwenda ukija kushtuka Bati limejaa KICHWANI, wakale walisema "Fainali uzeeni."

Hizo ni hofu zangu nimewaza kwa SAUTI. karibuni wadau tutoane hofu za kibinadamu.

Je wewe hofu Zako mbili ni zipi?
 
Time.Hakuna kitu kinachotisha kama time.Mwaka 2020 nimefanya maamuzi magumu sana ili ku-neutralize tishio la time.Time ni tatizo kubwa sana ambalo karibia kila mtu anajaribu kulitatua kwa kujidanganya kuwa halipo.
 
Kukosa nguvu za kiume tu

Mkuu kukosa nguvu za kiume ni Mada mtambuka, Kuna anayedinda Ila Hana nguvu za kushiriki tendo (Mashoga wengi wapo hivi wakati wanaingiliwa wanakuwa wamedinda)

Halafu Kuna nyingine ambaye hata kudinda hawezi kabisa sijui wewe unaongelea yupi??

Na Kuna mwingine anadinda na nguvu za kushiriki anazo, huyu anaitwa FOUR WHEEL anashiriki mbele na nyuma na unaweza kuta ameoa na ana watoto.

Kudinda na nguvu za kushiriki ni vitu viwili tofauti. Tuanzie hapo.
 
Mkuu kukosa nguvu za kiume ni Mada mtambuka, Kuna anayedinda Ila Hana nguvu za kushiriki tendo (Mashoga wengi wapo hivi wakati wanaingiliwa wanakuwa wamedinda)

Halafu Kuna nyingine ambaye hata kudinda hawezi kabisa sijui wewe unaongelea yupi??

Na Kuna mwingine anadinda na nguvu za kushiriki anazo, huyu anaitwa FOUR WHEEL anashiriki mbele na nyuma na unaweza kuta ameoa na ana watoto.

Kudinda na nguvu za kushiriki ni vitu viwili tofauti. Tuanzie hapo.
Kudinda na kutungisha mimba aisee! Kosa vyote ila sio hivyo viwili mkuu or else you will end up to be a useless man!
 
Kudinda na kutungisha mimba aisee! Kosa vyote ila sio hivyo viwili mkuu or else you will end up to be a useless man!

Hapo nimekuelewa kut*m*a na kuzalisha Kuna ongeza thamani ya mwanaume. Ila Sasa maisha yalivyokuwa unfair Kuna mtu anazaliwa automatically Hana huo uwezo, Yaani anakuwa Hanithi hadindishi kabisa means that hata kuzalisha Hana uwezo lakini anatamani mtoto.

Cha ajabu Kuna ambaye kazaliwa Rijali Ila Hana mpango na wanawake Wala mtoto na kaamua kugawa kitobo kwa wanaume wenzake.
 
Hapo nimekuelewa kut*m*a na kuzalisha Kuna ongeza thamani ya mwanaume. Ila Sasa maisha yalivyokuwa unfair Kuna mtu anazaliwa automatically Hana huo uwezo, Yaani anakuwa Hanithi hadindishi kabisa means that hata kuzalisha Hana uwezo lakini anatamani mtoto.

Cha ajabu Kuna ambaye kazaliwa Rijali Ila Hana mpango na wanawake Wala mtoto na kaamua kugawa kitobo kwa wanaume wenzake.
Eeh nikiwazaga hili naonaga hii dunia imejaa ubatili sana! Hebu just imagine upewe upofu ghafla hapo utajiskiaje mzee! Yani ghafla giza machoni paap!
 
Habari za Majukumu Wana JF kichwa cha habari kinahusikakama mnavyojua maisha yamejaa kuogofya kiasi kwamba hata uwe na mabaunsa lakini huwezi KUKOSA hofu moyoni.

Binafsi woga nilionao MAISHANI ni Uzee na Kifo maana najua hakuna aliwahi kwepa. Uzee unakuja bila hodi mdogo mdogo kadri umri unavyokwenda ukija kushtuka Bati limejaa KICHWANI, wakale walisema "Fainali uzeeni."

Hizo ni hofu zangu nimewaza kwa SAUTI. karibuni wadau tutoane hofu za kibinadamu.
,Zako mbili ni zipi?
Ukienda Hospitali ukae masaa kadhaa ndio utaogopa zaidi uzee, kuna wazee hawajiwezi kabisa na kuna wengine wanaletwa Hospitali kwa nguvu huku wanalia
 
Ulemavu + Kifo, ukweli kuna muda nikiwaza haya mambo mawili naona kama nataka kuchanyikiwa ivi. Ninapoona mtu alikuwa mzima then ni mlemavu au mfu kuna kitu kinapita kwenye moyo adi nakosa nguvu.
 
Chama la kijani ndio kitu cha kuogofya sana kwa sasa! Ni jinamizi angamizi kweli kweli. Shida zote mlizotaja na ambazo hamjataja chanzo ni hilo mumiani.
 
Naogopa kukosa Pesaa tuu....Siogopi kifo maana si wakwanza kufa na wala si wamwisho na huko uendako after death hakuna ajuaye kukoje..so i dont care about death, the only thing i care is money, not senseless things..[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kula kwa kutumia mkono wa kushoto au kutumia mikono miwili siwezi kila nikijaribu kula kwa kushoto moyo wangu unafadhaika sana had narudsha chakula kwa sahan au kikombe mezan
 
Habari za Majukumu Wana JF kichwa cha habari kinahusika kama mnavyojua maisha yamejaa kuogofya kiasi kwamba hata uwe na mabaunsa lakini huwezi KUKOSA hofu moyoni.

Binafsi woga nilionao MAISHANI ni Uzee na Kifo maana najua hakuna aliwahi kwepa. Uzee unakuja bila hodi mdogo mdogo kadri umri unavyokwenda ukija kushtuka Bati limejaa KICHWANI, wakale walisema "Fainali uzeeni."

Hizo ni hofu zangu nimewaza kwa SAUTI. karibuni wadau tutoane hofu za kibinadamu.

Je wewe hofu Zako mbili ni zipi?
Vita ninayoiogopa ni ile ya kupigana(kupingana)na nafsi yangu.
 
Back
Top Bottom