Vitu gani ungefanya au usingefanya kama ungekuwa unajipenda kwa dhati?

Vitu gani ungefanya au usingefanya kama ungekuwa unajipenda kwa dhati?

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Wakuu kwema?

Kuna mambo mengi tufanaya kwa ajili ya wengine huku mara nyingi tukijisahau sisi wenyewe.

Inaweza kuwa unafanya kwa kupenda na wakati mwingine ni kwa kujilazimisha kwakuwa hatutaki kuwakwaza wapendwa wetu, au kuwafurahisha watu wengine, na mara nyingine ni katika kutekeleza tu majukumu yetu ambapo ingekuwa mtu mwingine ungemwambia apumzike na ajijali zaidi, ila ikiwa upande wako unajisahau kujijali kabisa.

Ungekuwa unajionesha upendo na kujijali, kujifurahisha, kujionea huruma ungefanya hayo yote unayofanya? Kipi ungeacha? Kwanini hufanyi hivyo sasa?
 
ningeacha piga nyeto nisingekua na nyege mshindo
maana zinanipelekesha kweli
Kwanini huachi sasa, ukute wewe ni moja ya washauri wazuri kuwaambia wenye kuendekeza nyeto waache hizo mambo
 
Back
Top Bottom