Vitu muhimu vya kuzingatia kwa unayetaka kufanya kilimo biashara

Vitu muhimu vya kuzingatia kwa unayetaka kufanya kilimo biashara

hauleibrahim

Senior Member
Joined
May 17, 2024
Posts
183
Reaction score
125
Vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia Kwa mtu yeyote anae taka kulima kilimo biashara.

1. Una ardhi yenye ukubwa na yenye rutuba nzuri

2. Upo tayari kufanya kilimo kutoka moyoni mwako yani uvunguni wa moyo?

3. Utapata wapi mbegu za muda mfupi chotara zinazo himili magonjwa na kuota Kwa asilimia mia.

4. Mazingira unayo taka kufanya kilimo yanaendana na mbegu gani chotara.

5. Che inaishi mda gani shambani kabla ya kuvuna na baada ya kuvuna?

6. Mbolea za viwandani na viwatilifu vya viwandani zinapatikana wapi?

7. Gharama za kuhudumia Shamba na Miche ya kilimo cha muda mfupi ikoje?

8. Unavyanzo muhimu shambani vya kuhudumia Miche shambani mwako?

9. Soko lako la mazao linakuwa miezi gani na pia na nila uhakika?

10. Huko shambani kwako usafiri kama gari au Toyo vinafika ili viweze kutoa mazao kiwepesi?

11. Usalama wa mazao yako shambani ukoje?

Hitimisho: Sio kila kinacholipa kina faa kukimbilia kulimwa.ni vizuri kabla ya kulima vitu uvitakavyo jiulize utavimudu vzuri ndani ya uwezo wa fedha yako na juhudi zako hasa kwa walimaji wa mazao ya bustani. Usisahau kilimo kina taka fedha na muda wako ili nacho kikulipe utakavyo.
 
Shukrani kwa hizi hints. Nawezaje kupata taarifa za mbegu chotara.
 
Sh

Shukrani kwa hizi hints. Nawezaje kupata taarifa za mbegu chotara
Mbegu chotara fika kwenye maduka ya pembejeo au Kwa wakala wa mbegu mbalimbali za mazao ya bustani ili kuuliza kulingana na mbegu uitakayo
 
Sh

Shukrani kwa hizi hints. Nawezaje kupata taarifa za mbegu chotara
Mbegu chotara fika kwenye maduka ya pembejeo au Kwa wakala wa mbegu mbalimbali za mazao ya bustani ili kuuliza kulingana na mbegu iutakayo
 
Vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia Kwa mtu yeyote anae taka kulima kilimo biashara.

1.Una ardhi yenye ukubwa na yenye rutuba nzuri

2.upo tayari kufanya kilimo kutoka moyoni mwako yani uvunguni wa moyo?

3.utapata wapi mbegu za muda mfupi chotara zinazo himili magonjwa na kuota Kwa asilimia mia.

4.mazingira unayo taka kufanya kilimo yanaendana na mbegu gani chotara.

5.mche inaishi mda gani shambani kabla ya kuvuna na baada ya kuvuna?

6.mbolea za viwandani na viwatilifu vya viwandani zinapatikana wapi?

7.gharama za kuhudumia Shamba na Miche ya kilimo Cha muda mfupi ikoje?

8.unavyanzo muhimu shambani vya kuhudumia Miche shambani mwako?

9.soko lako la mazao linakuwa miezi gani na pia na nila uhakika?

10.huko shambani kwako usafiri kama gari au Toyo vinafika ili viweze kutoa mazao kiwepesi?

11.usalama wa mazao yako shambani ukoje?

Hitimisho :sio kila kinacholipa kina faa kukimbilia kulimwa.ni vizuri kabla ya kulima vitu uvitakavyo jiulize utavimudu vzuri ndani ya uwezo wa fedha yako na juhudi zako hasa Kwa walimaji wa mazao ya bustani.usisahau kilimo kina taka fedha na muda wako ili nacho kikulipe utakavyo
Kubwa kuliko yote,

UNA MTU/KIJANA MUAMINIFU, AU WEWE MWENYEWE UKO TAYARI KWENDA KUKAA HUKO SHAMBANI FULL TIME UKISIMAMIA HICHO KILIMO?

Kama huna muda au mtu wa kusimamia anaekijua vizuri hicho kilimo, SAHAU mambo ya kilimo, fanya ishu zingine!
 
Kubwa kuliko yote,

UNA MTU/KIJANA MUAMINIFU, AU WEWE MWENYEWE UKO TAYARI KWENDA KUKAA HUKO SHAMBANI FULL TIME UKISIMAMIA HICHO KILIMO?

Kama huna muda au mtu wa kusimamia anaekijua vizuri hicho kilimo, SAHAU mambo ya kilimo, fanya ishu zingine!
Tuna andika Kwa lengo la wenye utayari kuubadili umaskini kuwa utajiri
 
Kubwa kuliko yote,

UNA MTU/KIJANA MUAMINIFU, AU WEWE MWENYEWE UKO TAYARI KWENDA KUKAA HUKO SHAMBANI FULL TIME UKISIMAMIA HICHO KILIMO?

Kama huna muda au mtu wa kusimamia anaekijua vizuri hicho kilimo, SAHAU mambo ya kilimo, fanya ishu zingine!
Wapo wengi tu mbona, wenye kuona mbali kidogo
 
Back
Top Bottom