Vitu nilivodhani ni rahisi kumbe siošŸ˜†

Vitu nilivodhani ni rahisi kumbe siošŸ˜†

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Zamani nilidhani mambo yako simple kumbe ni magumu sana, sikujua uhalisia

1. Kufika South Africa
Zamani tuliamini South Africa ni hapo tu bondeni,
Yaani life likibana hapa Kwa Nyerere ni chap bondeni,
Tulipachukulia ni karibu kiumbali na ni rahisi kufika.
Hadi Leo South Africa naiona kwenye ramani tu

2. Ndoa ni furaha na raha tupo.
Hapo niliwaza vibaya sana kudhani kuwa ndoa itabaki siku za honey moon
Ndoa ni mitihani, kila siku inakupa maswali mapya.
Ni ngumu sio poa, zaidi inahitaji kujitoa sana

3 polisi ni rafiki wa wananchi
Hapa ndo nilikosea sana aisee
Polisi wapo ili kuhakikisha watawala wanatawala kirahisi,
Kubambikia kesi, rushwa na uchafu ulio huko polisi
Nimeamini majuzi polisi ndo adui wa wananchi.

4. Kupata demu chuo.
Sio rahisi hata kidogo,
Pisi zote zinaopolewa na masonko wa nje ya chuo, halafu vijana wengi wanabaki chaputa

5.Biashara ni rahisi
Biashara ni kitu kigumu, inahitaji nidhamu na commitment kubwa sana
Ukiifanya kilegevu inakulipa kilegevu, ukiifanya vizuri Kwa kujitoa itakulipa vizuri

6.kuna watu waliamini CCM na uchawa utawalipa kirahisi
Vijana wamekata bench, wamefagia ofsi za CCM, kimbiza mwenge ila miaka inaenda wanaitwa kutimiza akidi ila teuzi hawalambi Sasa wanakata tamaa

Ongezea
Itaendelea.....
 
Zamani nilidhani mambo yako simple kumbe ni magumu sana, sikujua uhalisia

1. Kufika South Africa
Zamani tuliamini South Africa ni hapo tu bondeni,
Yaani life likibana hapa Kwa Nyerere ni chap bondeni,
Tulipachukulia ni karibu kiumbali na ni rahisi kufika.
Hadi Leo South Africa naiona kwenye ramani tu

2. Ndoa ni furaha na raha tupo.
Hapo niliwaza vibaya sana kudhani kuwa ndoa itabaki siku za honey moon
Ndoa ni mitihani, kila siku inakupa maswali mapya.
Ni ngumu sio poa, zaidi inahitaji kujitoa sana

3 polisi ni rafiki wa wananchi
Hapa ndo nilikosea sana aisee
Polisi wapo ili kuhakikisha watawala wanatawala kirahisi,
Kubambikia kesi, rushwa na uchafu ulio huko polisi
Nimeamini majuzi polisi ndo adui wa wananchi.

4. Kupata demu chuo.
Sio rahisi hata kidogo,
Pisi zote zinaopolewa na masonko wa nje ya chuo, halafu vijana wengi wanabaki chaputa

5.Biashara ni rahisi
Biashara ni kitu kigumu, inahitaji nidhamu na commitment kubwa sana
Ukiifanya kilegevu inakulipa kilegevu, ukiifanya vizuri Kwa kujitoa itakulipa vizuri

6.kuna watu waliamini CCM na uchawa utawalipa kirahisi
Vijana wamekata bench, wamefagia ofsi za CCM, kimbiza mwenge ila miaka inaenda wanaitwa kutimiza akidi ila teuzi hawalambi Sasa wanakata tamaa

Ongezea
Itaendelea.....
Nilidhani kutajilika is simple as adding 1+1= mpaka nimeshuhudia mtu wa miaka 50 bado anapanga chumba kimoja lakini hajawahi kukaa bila kazi miaka yote aendi bar na ana mke moja, ila bado masikini.......
 
Nilidhani kutajilika is simple as adding 1+1= mpaka nimeshuhudia mtu wa miaka 50 bado anapanga chumba kimoja lakini hajawahi kukaa bila kazi miaka yote aendi bar na ana mke moja, ila bado masikini.......
Hahaha
 
Back
Top Bottom