Vitu tunavyo-post kwenye mitandao ya kijamii vingine vinawakwaza watu wanaotuheshimu

minded tips

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2018
Posts
479
Reaction score
859
[emoji117]Ukiruhusu mitandao ya kijamii itawale maisha yako na mpaka inafikia hatua ikuamulie jinsi ya kuishi hutaweza kudumu na mwanaume yeyote hata Mungu akuletee malaika[emoji3577]...tunapunguza mapenzi kwa wapenzi wetu hata marafiki wa kawaida kwa kushea mambo ya ajabu ajabu na kuyapost kwa kuona tusiposhea tutaonekana hatuendi na wakati[emoji849]

Baadhi ya watu maarufu wanapost ujinga na sisi tunashea ujinga wao bila kuangalia tunawakwaza watu ambao wanatuheshimu na tunagetegemeana ktk maisha...ni rahisi sana mtu kukudharau wa kushea upumbavu[emoji117]mnajifanya mmechizika mnaenda na wakati[emoji23][emoji23][emoji23]doo[emoji23].NIWAKUMBUSHE TU MUWE MAKINI NA SIO KILA KITU NI CHA KUSHEA
 
Yamekukuta makubwa bila shaka, unateseka ukiwa upande upi wa muungano?
 
Well, ni somo zuri sana.
Nimejifunza kitu.
 
Well, ni somo zuri sana.
Nimejifunza kitu.
Du huyu mdada mrembo ambae hata binadamu wanyamaze wasiseme chochote bado kasuku atamsifia tu kua Madame B ni mzuri najikuta siamini kama ame comment kwenye hii post[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Du huyu mdada mrembo ambae hata binadamu wanyamaze wasiseme chochote bado kasuku atamsifia tu kua Madame B ni mzuri najikuta siamini kama ame comment kwenye hii post[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Makubwa haya.....
 
Jilinde na delta bado tunakuhitaji
Kalinipiga Nina mwezi Sasa, niko poa ila kamekata genye zote kajamaa kajinga kweli, ndo nakabembeleza kazirudishe
 
Kalinipiga Nina mwezi Sasa, niko poa ila kamekata genye zote kajamaa kajinga kweli, ndo nakabembeleza kazirudishe
Oooh pole sana, hivi Rwanda hali ikoje?
Nina kasafari cha huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…