Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Achana na ajabu la kesi ya ugaidi kufutwa!
Kuna vitu havitokei bahati mbaya ama kwa mara moja. Kila kitu kina mchakato wake. Mipango na utekelezaji
Kesi ya ugaidi iliyokuwa ikimkabili mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu imefutwa na washtakiwa wote wameachiwa huru kwa amri ya DPP bila masharti yoyote!
Hili lilitegemewa na wengi kutokana na mwenendo mzima wa kesi yenyewe hasa upande wa mashahidi na ushahidi dhidi ya watuhumiwa.
Ukiachana na hilo haya ndio mambo makuu matatu yaliyopelekea hii kesi kuwa na mwisho huu
1. Wito na hitaji la wahisani na wafadhili
Hawa ndio wanatusaidia kuendesha nchi kwenye upande wa pesa. Hawa kupitia balozi zao nchini walihudhuria mahakamani karibia kipindi chote cha kesi..Ni baada ya mahudhurio hayo waligundua tatizo na ukweli uliopo..hawa wakaweka mbinyo kuishinikiza serikali iachane na hii kesi ili waweze kutoa marundo
2. Kuhakikisha kunakuwa na usawa katika ulingo wa kisiasa na wafungwa wote wa kisiasa ndani na nje ya nchi wanahakikishiwa usalama wao, na ama kesi zao kufutwa na kuruhusiwa kufanya shughuli halali za kisiasa. Mkutano wa Belgium na Tundu Lissu ni kama tu ulifanya majumuisho wa hayo yote kisiasa, kijamii kisheria na mahusiano ya kimataifa.
3. Kwa marudio, ushahidi uliojaa matobo ya mashaka. Vithibiti vinavyoacha shaka nyingi. Hofu ya kupigwa kisheria kwenye utetezi.. Hapa walitumika watu mbalimbali kumuomba mwenyekiti aombe radhi ili kuiondolea serikali aibu. Kikao na viongozi wa dini kilitumika tu kukamilisha mpango mzima! Ili iwe kama safe exit ya mamlaka kwenye hii kesi.
Mbowe yuko huru. Lissu anarudi nchini. You can predict the feeling of both sides foes and friends!
Shukrani kubwa ni kwa:
Mungu ibariki CHADEMA!
Kuna vitu havitokei bahati mbaya ama kwa mara moja. Kila kitu kina mchakato wake. Mipango na utekelezaji
Kesi ya ugaidi iliyokuwa ikimkabili mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu imefutwa na washtakiwa wote wameachiwa huru kwa amri ya DPP bila masharti yoyote!
Hili lilitegemewa na wengi kutokana na mwenendo mzima wa kesi yenyewe hasa upande wa mashahidi na ushahidi dhidi ya watuhumiwa.
Ukiachana na hilo haya ndio mambo makuu matatu yaliyopelekea hii kesi kuwa na mwisho huu
1. Wito na hitaji la wahisani na wafadhili
Hawa ndio wanatusaidia kuendesha nchi kwenye upande wa pesa. Hawa kupitia balozi zao nchini walihudhuria mahakamani karibia kipindi chote cha kesi..Ni baada ya mahudhurio hayo waligundua tatizo na ukweli uliopo..hawa wakaweka mbinyo kuishinikiza serikali iachane na hii kesi ili waweze kutoa marundo
2. Kuhakikisha kunakuwa na usawa katika ulingo wa kisiasa na wafungwa wote wa kisiasa ndani na nje ya nchi wanahakikishiwa usalama wao, na ama kesi zao kufutwa na kuruhusiwa kufanya shughuli halali za kisiasa. Mkutano wa Belgium na Tundu Lissu ni kama tu ulifanya majumuisho wa hayo yote kisiasa, kijamii kisheria na mahusiano ya kimataifa.
3. Kwa marudio, ushahidi uliojaa matobo ya mashaka. Vithibiti vinavyoacha shaka nyingi. Hofu ya kupigwa kisheria kwenye utetezi.. Hapa walitumika watu mbalimbali kumuomba mwenyekiti aombe radhi ili kuiondolea serikali aibu. Kikao na viongozi wa dini kilitumika tu kukamilisha mpango mzima! Ili iwe kama safe exit ya mamlaka kwenye hii kesi.
Mbowe yuko huru. Lissu anarudi nchini. You can predict the feeling of both sides foes and friends!
Shukrani kubwa ni kwa:
- Mungu mkuu
- Viongozi wa dini waliosimama kidete kwenye hii kesi
- Viongozi wa CHADEMA kwa mshikamano na kusimama imara
- Mawakili na wanasheria
- Wanachama, wapenzi, mashabiki na wote waliokuwa na mapenzi mema kwenye hii kesi
Mungu ibariki CHADEMA!