INAUZWA Vitu vinauzwa, Mmiliki anahama

Mkuu kama unahama nchi kabisa nikupe hongera sana sana.Maana hali si hali tena.Yajayo mmmmmm!
 
Sawa mkuu. Nami nilikuwa natoa maoni yangu tu
Harafu akupingae ukute hana hata harufu ya uteja KAZI kweli. Ushauri unauzwa lakini bahati nzuri wewe watoa bure ila kuna mtu apinge kisa ?
 
Flat Tv bado ipo na baadhi ya vitu atakaefikia bei atachukua karibuni 071635893
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…