1. Kutokujua anataka nini kwenye siasa. Mara anataka demokrasia lakini hataki katiba mpya. Mara anataka katiba mpya lakini baada ya miaka mitatu. Mara anataka chaguzi huru lakini anataka mkwe wa TAMISEMI ndiye aongoze changuzi za mwaka 2024. Mara anatatuma mabadiliko ya tume huru wakati huohuo sheria bado hazijatoa tume huru. Mama unatakiwa usichanganye watu . Utataka Tanzania ya aina gani. Huwezi kuendelea kuwa na vitu nusunusu kama hivi utajitafutia matatizo zaidi tu.Uraisi unataka clarity Mama !
2. Mama hayuko serious kwenye rushwa. Rushwa ziko kila mahali na hakuna jitihada za maana za kuzuia rushwa wala ukali wa namna yeyote. Polisi rushwa zimezidi, miradi rushwa zimezidi, mikataba mfano wa DP world hauko wazi mpaka leo. Sasa wewe una tofauti gani na wala rushwa wengine kama Kikwete. Imefikia wakati mpaka Norway ndiye anahakikisha hakuna rushwa kwenye mikataba inayojadiliwa ya Gas za Mtwara na Lindi. Yaani tunapedwa na familia ya kifalme ya Norway kuliko hata wanasiasa wetu ambao wanatafuta jinsi ya kupewa rushwa na mambo yamegoma hivyo mpaka leo hakuna mkataba wowote!. Familia ya mfalme wamekuita na kukupa ukweli lakini umezungukwa na wala rushwa wakubwa na Kikwete gang ambao ni walafi wakubwa. Dr Matarajio ulimtoa TPDC ili wezi wamweke mtu wao
3. Maridhiano yako hayaaminiki. Je upo serious au ni michezo michezo ya kitoto. Je unataka nchi yetu iwe shindani na wenzetu ambao ni demokrasi kama Kenya, Uganda, Malawi au unataka uongozi wa kifamilia wa Kagame, Museveni kama Magufuli! Jitambue unataka nchi ya namna gani. Bila hivyo utaondoka hapo miezi miwili utaonekana kama ni janga.
4. Maendeleo ni bure bila demokrasia na mfumo mzuri. Unataka nini hasa
5. Kwa rekodi ya Makonda nchi nyingine zinakushangaa kumweka muuaji ambaye hata hajaomba msamaha. CIA wana facts zote. Unaonyesha hauko serious
2. Mama hayuko serious kwenye rushwa. Rushwa ziko kila mahali na hakuna jitihada za maana za kuzuia rushwa wala ukali wa namna yeyote. Polisi rushwa zimezidi, miradi rushwa zimezidi, mikataba mfano wa DP world hauko wazi mpaka leo. Sasa wewe una tofauti gani na wala rushwa wengine kama Kikwete. Imefikia wakati mpaka Norway ndiye anahakikisha hakuna rushwa kwenye mikataba inayojadiliwa ya Gas za Mtwara na Lindi. Yaani tunapedwa na familia ya kifalme ya Norway kuliko hata wanasiasa wetu ambao wanatafuta jinsi ya kupewa rushwa na mambo yamegoma hivyo mpaka leo hakuna mkataba wowote!. Familia ya mfalme wamekuita na kukupa ukweli lakini umezungukwa na wala rushwa wakubwa na Kikwete gang ambao ni walafi wakubwa. Dr Matarajio ulimtoa TPDC ili wezi wamweke mtu wao
3. Maridhiano yako hayaaminiki. Je upo serious au ni michezo michezo ya kitoto. Je unataka nchi yetu iwe shindani na wenzetu ambao ni demokrasi kama Kenya, Uganda, Malawi au unataka uongozi wa kifamilia wa Kagame, Museveni kama Magufuli! Jitambue unataka nchi ya namna gani. Bila hivyo utaondoka hapo miezi miwili utaonekana kama ni janga.
4. Maendeleo ni bure bila demokrasia na mfumo mzuri. Unataka nini hasa
5. Kwa rekodi ya Makonda nchi nyingine zinakushangaa kumweka muuaji ambaye hata hajaomba msamaha. CIA wana facts zote. Unaonyesha hauko serious