Anti-tozo
Member
- May 23, 2015
- 56
- 56
Kutokuwa na utawala bora hii ni changamoto sana maana viongozi hawawajibiki na yale wayatendayo.
Mipango mibovu kwa mfano sasa ivi CNG ingekuwa nishati ya kutukomboa na kupunguza mzigo kwa nchi kutumia fedha nyingi kuagiza mafuta nje lakini ukiangalia huku na huko haoni mpango wa dharura kwa jambo ili sasa ndipo pale unakaa unajiuliza tunajua kweli tunaelekea wapi?
Mipango mibovu kwa mfano sasa ivi CNG ingekuwa nishati ya kutukomboa na kupunguza mzigo kwa nchi kutumia fedha nyingi kuagiza mafuta nje lakini ukiangalia huku na huko haoni mpango wa dharura kwa jambo ili sasa ndipo pale unakaa unajiuliza tunajua kweli tunaelekea wapi?