ZOPPA
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 2,729
- 2,891
No chill in Africa
VITU VINAVYOTAMBULISHA UAFRIKA
1.kukojoa nyuma ya ukuta
2.mke kulala ukutani
3.ufagio unakaa nyuma ya mlango
4.ukiwa tajiri ni freemason
5.kufulia chupi maji yaliyobaki baada ya kuoga.
6. Mkubwa akijamba anasingiziwa mtoto ndie kajamba. .
7. Mkiwa mnaangalia TV kipindi chochote kile ikifika saa 2 usiku lazima baba aangilie taarifa ya habari kwanza.
8. Viwanja vya watu ambavyo havijajengwa bado ugeuzwa dampo na njia ya mkato. .
9. Kwenye nyumba za kupanga wakina dada upenda kukaa karibu na chooni. .
10. Kifungua kinywa lazima kiwe na chai..
NAWE ONGEZEA YAKO.....
VITU VINAVYOTAMBULISHA UAFRIKA
1.kukojoa nyuma ya ukuta
2.mke kulala ukutani
3.ufagio unakaa nyuma ya mlango
4.ukiwa tajiri ni freemason
5.kufulia chupi maji yaliyobaki baada ya kuoga.
6. Mkubwa akijamba anasingiziwa mtoto ndie kajamba. .
7. Mkiwa mnaangalia TV kipindi chochote kile ikifika saa 2 usiku lazima baba aangilie taarifa ya habari kwanza.
8. Viwanja vya watu ambavyo havijajengwa bado ugeuzwa dampo na njia ya mkato. .
9. Kwenye nyumba za kupanga wakina dada upenda kukaa karibu na chooni. .
10. Kifungua kinywa lazima kiwe na chai..
NAWE ONGEZEA YAKO.....