moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
1; *_Kukojoa nyuma ya choo_*
2; *_Mke analala ukutani_*
3; *_Ufagio unakaa nyuma ya mlango_*
4; *_Kuna ile sahani na mabakuli mazuri ya udongo hutumika mgeni akija tu_*
5; *_Ukiwa tajiri watu watasema umekuwa Freemason au ndagu_*
6; *_Kufulia chupi maji yaliyobakia kuoga_*
7; *_Kuosha vijiko kwanza kabla ya vikombe mwisho kabisa unamalizia sufuria_*
8; *_Mzazi anakufokea kama dakika 40 hivi mwisho anakuambia halafu leo sijisikii kuongea_*
9; *_Mzazi anakuwa busy na simu au kusinzia ila ukibadilisha tu channel anakufokea_*
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
2; *_Mke analala ukutani_*
3; *_Ufagio unakaa nyuma ya mlango_*
4; *_Kuna ile sahani na mabakuli mazuri ya udongo hutumika mgeni akija tu_*
5; *_Ukiwa tajiri watu watasema umekuwa Freemason au ndagu_*
6; *_Kufulia chupi maji yaliyobakia kuoga_*
7; *_Kuosha vijiko kwanza kabla ya vikombe mwisho kabisa unamalizia sufuria_*
8; *_Mzazi anakufokea kama dakika 40 hivi mwisho anakuambia halafu leo sijisikii kuongea_*
9; *_Mzazi anakuwa busy na simu au kusinzia ila ukibadilisha tu channel anakufokea_*
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app