Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Na ukiacha kula pia na Mkalio wako pia unashuka kwa speed kali .Write your reply...1&2
CCM7:Siasa.
Heri yako mwenzangu una 1/6 mimi mwenzio nina 3/6Mie hapo kwenye ULEVI 🙄🙄🙄
Daahh mimi nimeshika zaidi hiyo aya yako ya mwisho wa hii content1. Kutokufanya mazoezi
2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta
3. Ulevi kupita kiasi
4. Ngono zembe
5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka.
6. Umasikini
Hapa kwenye umasikini jitahidi usiwe masikini kwa muda mrefu kwani umasikini unaweza kuleta mengine yote hapo juu.
HahaaHadithi ya asiyekunywa maji yasiyo chemshwa ila hakumbuki kuvaa kondomu kabisa hata akiwa nayo mfukoni, ananunua ila hazitumii.
KwakweliKumpenda asiyekupenda pia Kutaathiri afya yako MKUU.. Naona umesahau hilo
1. Kutokufanya mazoezi
2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta
3. Ulevi kupita kiasi
4. Ngono zembe
5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka.
6. Umasikini
Hapa kwenye umasikini jitahidi usiwe masikini kwa muda mrefu kwani umasikini unaweza kuleta mengine yote hapo juu.
Mkuu umesema kweli ila...kusamehe nako ni mtihani... ... kuna watu wanakuumiza kutaka ufe halafu umsamehe .... ..Kutosamehe waliokukosea!
Watu wengi wanaumwa sababu mojawapo ni kutosamehe wengine!
Mungu atupe Neema ya kusamehe kwa faida yetu wenyewe ijapokuwa kuna Watu wanakosea wenzao kwa makusudi
7.Kupanda/kuendesha bodaboda haijalishi umevaa au haujavaa kofia ngumu1. Kutokufanya mazoezi
2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta
3. Ulevi kupita kiasi
4. Ngono zembe
5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka.
6. Umasikini
Hapa kwenye umasikini jitahidi usiwe masikini kwa muda mrefu kwani umasikini unaweza kuleta mengine yote hapo juu.
Kuchunguza simu ya mwenza wako ni jambo hatari kwa maisha yako.
Kumpenda asiyekupenda pia Kutaathiri afya yako MKUU.. Naona umesahau hilo
1. Kutokufanya mazoezi
2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta
3. Ulevi kupita kiasi
4. Ngono zembe
5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka.
6. Umasikini
Hapa kwenye umasikini jitahidi usiwe masikini kwa muda mrefu kwani umasikini unaweza kuleta mengine yote hapo juu.