Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,637
Kuna vitu vitatu vikuu ambavyo huumba matokeo ya malipo ya bili yako ya umeme.
1.Muda wa matumizi ya vifaa vyako kwa siku.(Time)
2.Ukubwa wa vifaa vyako kimatumizi( Wattage)
3.Ubovu wa miundombinu ya mfumo wa umeme au vifaa vyenyewe vinavyotumia umeme huo.(Default on appliances or Electrical devices).
Niaatanza kuongelea Kigezo cha Muda.
1. MUDA WA MATUMIZI YA UMEME
Muda wa matumizi ni "variable" Muhimu sana katika kujua kiasi cha umeme utakacho Tumia
Mfano Nyumba A, na Nyumba B zote zina vifaa vinavyo fanana.
Au mpangaji A na mpangaji B wote wana vifaa vinavyifanana.
*Tuchukulie mfano kifaa kimoja ambacho ni Televison (TV).
Ambao mwenye nyumba A ana familia inayoshinda nyumbani mchana na usiku ambao hutazama TV kwa maasaa12, TV ina watt 30
Na nyumba B yeye hana familia ni mtu mmoja tu,mchana anakuwa kazini akirudi nyumbani huangalia Tv kwa masaa 4 tu, TV ina Watt 30
Licha ya kua na vifaa vinavyofanana kwa kila kitu matumizi yao kwa mwezi yatatofautiana.
kuangalia TV kwa mwezi
mzima nyumba A gharama itakua
*Nyumba A itatumia UNIT (30wx12mudax30siku)=Unit 10.8,kwa mwezi
Sawa na kiasi cha (UNIT 10.8 x Bei ya unit moja ya umeme346)=Tsh 3,700
*Nyumba B itatumia UNIT (30wx4masaax30siku)=Unit 3.6, kwa mwezi
Sawa na kiasi cha (UNIT 3.6x Bei ya unit moja ya umeme 346=Tsh 1,245
Hivyo nyumba ya jirani yako au mpangaji mwenzako,inaweza kua na vifaa kama vyako ila mkawa na matumizi tofauti kimuda ikasababisha,mkalipa bili ya umeme tofauti sababu tu ya matumizi yenu kwa kigezo cha muda.
Ndio maana kipindi cha likizo ya watoto nyumba yako bili ya umeme hupanda...hii so sababu kuna hitirafu hapana ni kwasababu matumizi ya vifaa vya umeme yanaongezeka.
Nitaendelea baadae.....Kujadili kuhusu .....wattage.
****************************
Tunapo tazama sababu ya nyumba kua na bili kubwa ya umeme ambayo mwenye nyumba anatilia shaka,Hua pia tunajaribu kuuliza muda anao tumia vifaa vyake,hata kama vifaa vyake vina watt ndogo...
Kwa nyumba ambayo Wahusika au mhusika anahisi ina shida ya kuwa na bili kubwa ya umeme kuliko matumizi....Unaweza kuwasiliana nasi kwa uchaguzi na kujilidhisha,ili kama hakuna tatizo ubadilishe tabia ya matumizi ila kuna tatizo tuweze kulitatua.
Pia kwa nyumba ambayo itakua inaonekana haina shida ya kiufundi lakini matumizi yake yapo juu,tunatoa huduma ya kushauri na kuboresha mifumo ya umeme na vifaa vilivyofungwa,ambapo unaweza punguza matumizi hadi asilimia 40%...
Pia kwa wanaojenga nyumba mpya tunatoa ushauri wa vifaa vya kununua kwa kigezo cha kuepuka kuja kulipa bili kubwa hapo baadae.
Vilevile tunatoa huduma ya kufunga mifumo ya umeme katika nyumba mbalimbali na viwandani.
Transistor
0678147325.
1.Muda wa matumizi ya vifaa vyako kwa siku.(Time)
2.Ukubwa wa vifaa vyako kimatumizi( Wattage)
3.Ubovu wa miundombinu ya mfumo wa umeme au vifaa vyenyewe vinavyotumia umeme huo.(Default on appliances or Electrical devices).
Niaatanza kuongelea Kigezo cha Muda.
1. MUDA WA MATUMIZI YA UMEME
Muda wa matumizi ni "variable" Muhimu sana katika kujua kiasi cha umeme utakacho Tumia
Mfano Nyumba A, na Nyumba B zote zina vifaa vinavyo fanana.
Au mpangaji A na mpangaji B wote wana vifaa vinavyifanana.
*Tuchukulie mfano kifaa kimoja ambacho ni Televison (TV).
Ambao mwenye nyumba A ana familia inayoshinda nyumbani mchana na usiku ambao hutazama TV kwa maasaa12, TV ina watt 30
Na nyumba B yeye hana familia ni mtu mmoja tu,mchana anakuwa kazini akirudi nyumbani huangalia Tv kwa masaa 4 tu, TV ina Watt 30
Licha ya kua na vifaa vinavyofanana kwa kila kitu matumizi yao kwa mwezi yatatofautiana.
kuangalia TV kwa mwezi
mzima nyumba A gharama itakua
*Nyumba A itatumia UNIT (30wx12mudax30siku)=Unit 10.8,kwa mwezi
Sawa na kiasi cha (UNIT 10.8 x Bei ya unit moja ya umeme346)=Tsh 3,700
*Nyumba B itatumia UNIT (30wx4masaax30siku)=Unit 3.6, kwa mwezi
Sawa na kiasi cha (UNIT 3.6x Bei ya unit moja ya umeme 346=Tsh 1,245
Hivyo nyumba ya jirani yako au mpangaji mwenzako,inaweza kua na vifaa kama vyako ila mkawa na matumizi tofauti kimuda ikasababisha,mkalipa bili ya umeme tofauti sababu tu ya matumizi yenu kwa kigezo cha muda.
Ndio maana kipindi cha likizo ya watoto nyumba yako bili ya umeme hupanda...hii so sababu kuna hitirafu hapana ni kwasababu matumizi ya vifaa vya umeme yanaongezeka.
Nitaendelea baadae.....Kujadili kuhusu .....wattage.
****************************
Tunapo tazama sababu ya nyumba kua na bili kubwa ya umeme ambayo mwenye nyumba anatilia shaka,Hua pia tunajaribu kuuliza muda anao tumia vifaa vyake,hata kama vifaa vyake vina watt ndogo...
Kwa nyumba ambayo Wahusika au mhusika anahisi ina shida ya kuwa na bili kubwa ya umeme kuliko matumizi....Unaweza kuwasiliana nasi kwa uchaguzi na kujilidhisha,ili kama hakuna tatizo ubadilishe tabia ya matumizi ila kuna tatizo tuweze kulitatua.
Pia kwa nyumba ambayo itakua inaonekana haina shida ya kiufundi lakini matumizi yake yapo juu,tunatoa huduma ya kushauri na kuboresha mifumo ya umeme na vifaa vilivyofungwa,ambapo unaweza punguza matumizi hadi asilimia 40%...
Pia kwa wanaojenga nyumba mpya tunatoa ushauri wa vifaa vya kununua kwa kigezo cha kuepuka kuja kulipa bili kubwa hapo baadae.
Vilevile tunatoa huduma ya kufunga mifumo ya umeme katika nyumba mbalimbali na viwandani.
Transistor
0678147325.