Vitu vizuri unavyovikumbuka kwa mpenzi wako

Vitu vizuri unavyovikumbuka kwa mpenzi wako

Maya Angelou

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2019
Posts
1,086
Reaction score
2,576
Being in love is the best feeling ever🄰
Kuna ki feeling flani kizuri sana ukipendwa unapo penda,najua wengi tumeshawahi pitia hii hali either kwa mahusiano ya zamani au tilionayo kwa sasa.
Kuna wengine wanaamini hii hali huwa ni mwanzoni tu ila mkizoeana linaisha[emoji3]Kuna wengine huwa mambo hayaishi penzi moto moto lipo pale pale ukitoa vile vipindi vya kupishana hapa na pale hivyo haviepukiki.
Leo natimiza siku ya 12 toka nianze challenge ya kuappreciate mambo mazuri kutoka kwa mpenzi wangu,yaani nimejipa siku 90 ambazo sitoongea chochote kibaya au kulalamika kumuhusu[emoji3].Hii ni baada ya kuwa kero kwa mwenzangu ulalamishi,uwivu na amekuwa concerned sana mpaka imebidi nijichunguze upya hivi vitabia.
Siku ya 12 kwenye diary nikawa na list vitu vyote ambavyo amekuwa akinifanyia na sikuwa naviona.
Labda kuna wakati tunasahau kuona vitu vidogo vidogo kutoka kwa wenza wetu tunavichukulia poa meanwhile huko nje kuna watu wengi wanatamani wapate hata mtu wa kuwafanyia nusu ya hivyo
Ikanikumbusha mara nyingi tukitoka huwa ananitreat vizuri mpaka kama kuna majirani lazima wageuke
Kwanza mchangamfu hapendi mtu anaenuna ni ngumu kuwa bored ukiwa nae lazima utacheka,atakufungulia mlango,atakulisha,atakubembeleza(akiwa na muda),atakubebea pochi proudly,kiufupi kila kinacho wezekana ndani ya uwezo wake kitakacho kupa furaha anajitahidi kukifanya.
Nimesikitika siku zote sijawahi kusema asante ni kama niliona ni haki yangu kufanyiwa yote hayo mpaka leo nilipo jitafakari.

Ni vitu gani vizuri mwenza/mpenzi wako anakufanyia labda hujawahi kumshukuru,tushirikishe labda inawezekana na sisi wengine tutajifunza
Ukipata muda mshukuru pia inajenga upendo zaidi[emoji4]
 
Ukiachilia mbali tatizo lake la kutopenda kushindwa kwenye maongezi Yule wangu nashukuru hua ananikasirikia nikikosea

Ila hua anakasirika Kwa mahaba unaona hapa huyu binti wa watu kakasirika vizuri mpaka unapenda nakuona aibu
 
Mara nyingi kwenye Ndoa mkiwa mnawaza upande wa mazuri tu, ni jambo jema sana kwa ustawi wa Ndoa yenu.

Kitu ninachokipenda kwake ni kwamba sio mchoyo wa Papuchi. Hata nikimuudhi vipi, tukiwa kitandani ukimgusa tu utaona anakuchia mzigo. Hanaga mambo ya kununa.
 
Mimi miamala, wanawake mnawezaaa[emoji122][emoji122][emoji122]
20210323_181919.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Being in love is the best feeling ever🄰
Kuna ki feeling flani kizuri sana ukipendwa unapo penda,najua wengi tumeshawahi pitia hii hali either kwa mahusiano ya zamani au tilionayo kwa sasa.
Kuna wengine wanaamini hii hali huwa ni mwanzoni tu ila mkizoeana linaisha[emoji3]Kuna wengine huwa mambo hayaishi penzi moto moto lipo pale pale ukitoa vile vipindi vya kupishana hapa na pale hivyo haviepukiki.
Leo natimiza siku ya 12 toka nianze challenge ya kuappreciate mambo mazuri kutoka kwa mpenzi wangu,yaani nimejipa siku 90 ambazo sitoongea chochote kibaya au kulalamika kumuhusu[emoji3].Hii ni baada ya kuwa kero kwa mwenzangu ulalamishi,uwivu na amekuwa concerned sana mpaka imebidi nijichunguze upya hivi vitabia.
Siku ya 12 kwenye diary nikawa na list vitu vyote ambavyo amekuwa akinifanyia na sikuwa naviona.
Labda kuna wakati tunasahau kuona vitu vidogo vidogo kutoka kwa wenza wetu tunavichukulia poa meanwhile huko nje kuna watu wengi wanatamani wapate hata mtu wa kuwafanyia nusu ya hivyo
Ikanikumbusha mara nyingi tukitoka huwa ananitreat vizuri mpaka kama kuna majirani lazima wageuke
Kwanza mchangamfu hapendi mtu anaenuna ni ngumu kuwa bored ukiwa nae lazima utacheka,atakufungulia mlango,atakulisha,atakubembeleza(akiwa na muda),atakubebea pochi proudly,kiufupi kila kinacho wezekana ndani ya uwezo wake kitakacho kupa furaha anajitahidi kukifanya.
Nimesikitika siku zote sijawahi kusema asante ni kama niliona ni haki yangu kufanyiwa yote hayo mpaka leo nilipo jitafakari.

Ni vitu gani vizuri mwenza/mpenzi wako anakufanyia labda hujawahi kumshukuru,tushirikishe labda inawezekana na sisi wengine tutajifunza
Ukipata muda mshukuru pia inajenga upendo zaidi[emoji4]
Mshaanza mapema kula bata? Vyuma vishaanza kulegea grisi ishaanza kuingia mtaani.
 
Mara nyingi kwenye Ndoa mkiwa mnawaza upande wa mazuri tu, ni jambo jema sana kwa ustawi wa Ndoa yenu.

Kitu ninachokipenda kwake ni kwamba sio mchoyo wa Papuchi. Hata nikimuudhi vipi, tukiwa kitandani ukimgusa tu utaona anakuchia mzigo. Hanaga mambo ya kununa.

Aisee Hongera kwake yupo vizuri maana kuna muda tunanuna kote kote but naona hii ya kuto kuwa mchoyo ni nzuri[emoji4]
 
Ukiachilia mbali tatizo lake la kutopenda kushindwa kwenye maongezi Yule wangu nashukuru hua ananikasirikia nikikosea

Ila hua anakasirika Kwa mahaba unaona hapa huyu binti wa watu kakasirika vizuri mpaka unapenda nakuona aibu

Kukasirika ki mahaba kunakuaje tena watu tujifunze hapa mkuu[emoji3]
 
Hiyo imetoka kwake mkuu,mimi ndio mtumiwa,mariooo pro max[emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha basi inabidi uwe unasimamia ukucha hatari,yaani wewe inabidi uwe mtu wa mazoezi,kunywa mchuzi wa pweza,kutafuna karanga,kula matikiti,kunywa maji mengi,push up kwa sana tu halafu kulala kama hauna mishe nyingi.
 
Hahahaha basi inabidi uwe unasimamia ukucha hatari,yaani wewe inabidi uwe mtu wa mazoezi,kunywa mchuzi wa pweza,kutafuna karanga,kula matikiti,kunywa maji mengi,push up kwa sana tu halafu kulala kama hauna mishe nyingi.
[emoji1][emoji1][emoji1] bila kusahau alkasusu[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom