Anakuhesabia tu... ipo siku yako utaliaMimi miamala, wanawake mnawezaaa[emoji122][emoji122][emoji122]View attachment 1732679
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu,hadi nyumba amenipa mkuu,nilimuoteaga mapacha,hanaga ujanja kwangu.ingawa hatuishi pamoja.niko nae miaka mingi tu,hivyo ni kawaida yake.Anakuhesabia tu... ipo siku yako utalia
Kwanini msiishiHakuna kitu,hadi nyumba amenipa mkuu,nilimuoteaga mapacha,hanaga ujanja kwangu.ingawa hatuishi pamoja.niko nae miaka mingi tu,hivyo ni kawaida yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi miamala, wanawake mnawezaaa[emoji122][emoji122][emoji122]View attachment 1732679
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumetenganishwa kikazi,yeye ni mtumishi alihamishiwa Dodoma.Kwanini msiishi
Kabisa aisee,namuheshimu sana.Huyo ndio baby sasa mnasaidiana kwenye shida anakuvusha
Basi pambaneni na hali yenu
[emoji1][emoji1][emoji1],yameshakuwa hayo tena...!!Basi pambaneni na hali yenu
Eeh hapo mpambane kwa kweli
Tumeshapambana na kushinda vita nyingi tu, like US army!!Eeh hapo mpambane kwa kweli
Vita haziishi... Jpm ndie mfano wa aliemaliza vita
Ni kweli mkuu, bado safari ni ndefu,bado tunaendelea kupambana, na kwa uwezo wa Mungu tutashinda.Vita haziishi... Jpm ndie mfano wa aliemaliza vita