Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wakuu habari.
Kwa maisha ya sasa gari imekua kitu cha muhimu sana. Pamoja na kwamba kuna Uber, Taxify, Taxi, Bajaji, Daladala na Bodaboda, bado private car ina-umuhimu wake.
Kwa wasio na magari, inatokea kipindi inabidi uazime ikitokea shughuli ya muhimu sana ambayo public transport haitafaa au itakua gharama sana. Ata wenye magari uwa wanaazima endapo yao mabovu, au yapo chini sana haya wezi faa njia fulani, au hayawezi accomodate idadi fulani ya watu etc.
Sasa kwa ushauri, ukiazima gari kwa rafiki au ndugu yako, fanya yafuatayo:
1. Endesha na kulihudumia ilo gari kama lako. Kua nalo makini usiendeshe rough.
2. Angalia kama linadaiwa na polisi. Tumia *152*75# kwenye simu yako.
3. Unavorudisha hakikisha lina mafuta zaidi kama hamkukubaliana kumpa hela unavorudisha (ata lita 5 zaidi) ya uliyoyakuta. Kwenye gari lita 1 ina thamani sana.
4. Rudisha likiwa safi ata kama ulipewa chafu. Pitisha car wash lisafishwee.
5. Usimuagize mtu mwingine alirudishe.
6. Ikitokea tatizo lolote ata kama dogo, mpigie simu mwambie. Mfano umechubuliwa rangi padogo na Bodaboda mtaarifu. Na jiandae kuchangia au kugharamia repar.
7. Usipitishe muda mliokubariana. Kama ulisema utarudisha jioni hakikisha jioni kurudi mapema. Otherwise toa taarifa mapema.
Ukijitahidi kufanya hayo machache, umejiwekea chance kubwa kuazimwa tena next time.
Kwa maisha ya sasa gari imekua kitu cha muhimu sana. Pamoja na kwamba kuna Uber, Taxify, Taxi, Bajaji, Daladala na Bodaboda, bado private car ina-umuhimu wake.
Kwa wasio na magari, inatokea kipindi inabidi uazime ikitokea shughuli ya muhimu sana ambayo public transport haitafaa au itakua gharama sana. Ata wenye magari uwa wanaazima endapo yao mabovu, au yapo chini sana haya wezi faa njia fulani, au hayawezi accomodate idadi fulani ya watu etc.
Sasa kwa ushauri, ukiazima gari kwa rafiki au ndugu yako, fanya yafuatayo:
1. Endesha na kulihudumia ilo gari kama lako. Kua nalo makini usiendeshe rough.
2. Angalia kama linadaiwa na polisi. Tumia *152*75# kwenye simu yako.
3. Unavorudisha hakikisha lina mafuta zaidi kama hamkukubaliana kumpa hela unavorudisha (ata lita 5 zaidi) ya uliyoyakuta. Kwenye gari lita 1 ina thamani sana.
4. Rudisha likiwa safi ata kama ulipewa chafu. Pitisha car wash lisafishwee.
5. Usimuagize mtu mwingine alirudishe.
6. Ikitokea tatizo lolote ata kama dogo, mpigie simu mwambie. Mfano umechubuliwa rangi padogo na Bodaboda mtaarifu. Na jiandae kuchangia au kugharamia repar.
7. Usipitishe muda mliokubariana. Kama ulisema utarudisha jioni hakikisha jioni kurudi mapema. Otherwise toa taarifa mapema.
Ukijitahidi kufanya hayo machache, umejiwekea chance kubwa kuazimwa tena next time.