Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
VITU VYA KUZINGATIA KATIKA MAISHA
MAISHA YANA VITU 7;
1:- Furaha.
2:- Karaha.
3:- Misukosuko.
4:- Majonzi.
5:- Migogoro.
6:- Mikasa.
7:- Chuki.
Haya yote husababishwa na viumbe hai kama mimi na wewe, ili kuyashinda haya yakupasa uwe na mambo 4.
1:- Subira.
2:- Uelewa.
3:- Uvumilivu.
4:- Msamaha.
Lakini katika maisha yako pendelea sana kuwa na mambo 4.
1:- Msimamo.
2:- Mkweli.
3:- Ujasiri.
4:- Imani.
Ila epuka sana mambo 5.
1:- Udanganyifu.
2:- Uchoyo.
3:- Ubinafsi.
4:- Wizi.
5:- Kufitinisha.
Kumbuka kumjali anaekujali hata kama yupo mbali nawe.
Mpende anaekupenda hata kama hana kitu jali utu kuliko kitu.
Ibada kwa Imani yako ndio Nuru yako Duniani na Mbinguni
Prepared by danny mngete
MAISHA YANA VITU 7;
1:- Furaha.
2:- Karaha.
3:- Misukosuko.
4:- Majonzi.
5:- Migogoro.
6:- Mikasa.
7:- Chuki.
Haya yote husababishwa na viumbe hai kama mimi na wewe, ili kuyashinda haya yakupasa uwe na mambo 4.
1:- Subira.
2:- Uelewa.
3:- Uvumilivu.
4:- Msamaha.
Lakini katika maisha yako pendelea sana kuwa na mambo 4.
1:- Msimamo.
2:- Mkweli.
3:- Ujasiri.
4:- Imani.
Ila epuka sana mambo 5.
1:- Udanganyifu.
2:- Uchoyo.
3:- Ubinafsi.
4:- Wizi.
5:- Kufitinisha.
Kumbuka kumjali anaekujali hata kama yupo mbali nawe.
Mpende anaekupenda hata kama hana kitu jali utu kuliko kitu.
Ibada kwa Imani yako ndio Nuru yako Duniani na Mbinguni
Prepared by danny mngete