Vitu vya kuzingatia kwa waombaji wa ajira za ualimu na afya secretarieti ya ajira

Vitu vya kuzingatia kwa waombaji wa ajira za ualimu na afya secretarieti ya ajira

BOFREE

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
1,048
Reaction score
1,424
napenda kuwakumbusha mambo muhimu ya kuzingatia unapoomba nafasi secretariati ya ajira katika utumishi wa umma

1. hakikisha unatoa copy ya vyeti ikiwemo cha kuzaliwa, sekondari na talaluma na kuweka muhuri wa kuverify kwa wakili, mwanasheria au mahakama

2. unapoandika barua ya maombi hakikikisha unaweka saini yako iwe umeandika kwa mkono au umeandika kwa computer

3. hakikisha unaweka profile picha yenye ubora usizidi 500kb na resolution ya 300 x 300

mwisho hayo mambo matatu ni muhimu likikosekana moja tu huwezi itwa kwenye usahili ninauzoefu wa kutosha nimefanya sahili za utumishi nyingi sana hayo ni muhimu zingatieni msije mkajilaumu badae na pia kama unavyeti viwili diploma na degree ukiambatanisha cha degree huwezi omba nafasi za diploma .
 
Dirisha la applications limefungwa toka jana kijana.

Screenshot_2024-07-21-10-48-08-868_com.android.chrome-edit.jpg
 
Ajira za afya dirisha lilishafungwa
Za sasa ambazo ziko wazi na za sekta ya elimu walimu
 
😂 Sasa watu wa afya hapo wazingatie nini?
Anyway, umeandika machache sana kati ya mengi.
 
napenda kuwakumbusha mambo muhimu ya kuzingatia unapoomba nafasi secretariati ya ajira katika utumishi wa umma

1. hakikisha unatoa copy ya vyeti ikiwemo cha kuzaliwa, sekondari na talaluma na kuweka muhuri wa kuverify kwa wakili au mahakama

2. unapoandika barua ya maombi hakikikisha unaweka saini yako iwe umeandika kwa mkono au umeandika kwa computer

3. hakikisha unaweka profile picha yenye ubora usizidi 500kb na resolution ya 300 x 300

mwisho hayo mambo matatu ni muhimu likikosekana moja tu huwezi itwa kwenye usahili ninauzoefu wa kutosha nimefanya sahili za utumishi nyingi sana hayo ni muhimu zingatieni msije mkajilaumu badae na pia kama unavyeti viwili diploma na degree ukiambatanisha cha degree huwezi omba nafasi za diploma .
Je unaweza kufungua account mpya ya ajira portal ikiwa ya mwanzo inasumbua?
 
Je unaweza kufungua account mpya ya ajira portal ikiwa ya mwanzo inasumbua?
haiwezekani sababu namba ya nida tayari imeishatumika kwa shida yoyote tuma email kwa ict@ajira.go.tz ila kama tatizo lako ni kutoa level ya elimu mfano degree ibaki diploma huwezi pata suluhisho ila kama ni kuedit vyeti mfano utoe ambavyo havina muhuri kuweka vya muhuri inawezekana
 
haiwezekani sababu namba ya nida tayari imeishatumika kwa shida yoyote tuma email kwa ict@ajira.go.tz ila kama tatizo lako ni kutoa level ya elimu mfano degree ibaki diploma huwezi pata suluhisho ila kama ni kuedit vyeti mfano utoe ambavyo havina muhuri kuweka vya muhuri inawezekana
Kwenye academic qualification degree imejirudia mara 4, ndo nilihitaji nizitoe, hatoleta changamoto hapo
 
Kwenye academic qualification degree imejirudia mara 4, ndo nilihitaji nizitoe, hatoleta changamoto hapo
haina shida iyo hata sikijirudia mara saba ili mradi umeweka sahihi
 
Back
Top Bottom