Vitu vya kuzingatia ukitaka kuanzisha Geto lako

Vitu vya kuzingatia ukitaka kuanzisha Geto lako

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Vitu 10 vya kuzingatia ukitaka kuanzisha ghetto lako

SIMPLE GHETTO KWA MARA YA KWANZA wigos[emoji16]

1.Akikisha una kazi ambayo itakupa hela ya kodi.

2.Panga chumba cha bei ndogo lipa kodi ya miezi mi 3.

Usikubali kutoa kod ya mwez 1, m1 maana ndo unaanza maisha.

4.nunua godoro 3.5×6 bei hua haivuki laki la kuanzia.

5.Nunua gas na vyombo vichache tu.

6.nunua mchele kilo 10 na mafuta.

7.nunua pazia... shuka.

8.nunua jaba kubwa na ndoo mbili.

9.kama utakua na balance nunua ka divaisi izi redi tupea[emoji23].

10. USIKIMBILIE KUOA Maana ndo unaanza life bado hujapata experience ya maisha

KUMBUKA BORA KULALA NJAA UKO GHETTONI KWAKO kuliko kutukanwa nyumbani ambapo kosa kafanya mdogo wako wa mwsho[emoji23][emoji23]
1740651459344.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
SIMPLE GHETTO KWA MARA YA KWANZA wigos 😁
1.Akikisha una kazi ambayo itakupa hela ya kodi
2.Panga chumba cha bei ndogo lipa kodi ya miezi mi 3
Usikubali kutoa kod ya mwez 1, m1 maana ndo unaanza maisha
4.nunua godoro 3.5×6 bei hua haivuki laki (lakuanzia)
5.Nunua gas na vyombo vichache t
6.nunua mchele kilo 10 na mafuta
7.nunua pazia , shuka
8.nunua jaba kubwa na ndoo mbili
9.kama utakua na balance nunua ka divaisi izi redi tupea 😂
10. USIKIMBILIE KUOA Maana ndo unaanza life bado hujapata experience ya maisha

KUMBUKA BORA KULALA NJAA UKO GHETTONI KWAKO kuliko kutukanwa nyumbani ambapo kosa kafanya mdogo wako wa mwsho. 😂😂

Jiunge na group letu la kupangilia chumb👉🏼a👉🏼 JIFUNZE KUPANGILIA CHUMBA (na silas wigos)
 
Hahaha eti group la kupanguilia room vijana wa 2005 mna kazi good luck 🤞
 
Back
Top Bottom