3-roomed, ina hati, imepakana na barabara, ni uzunguni, parking ya kutosha fuso (ndogo) nane+ya gari ndogo ambayo ni ndani. eneo la bustani kubwa, mjengo ni for residential purpose, maji umeme tayari upo, ni fenced kwa wire,
Pamoja na yote hayo hayo jee haina tatizo la mirathi kama ni ya kurithi? jee haina mgogoro wowote na Banki? vitu vyote hivyo vizingatiwe kabla kupanga bei, katika siku za karibuni kuna nyumba iliuzwa mtaani hapo? iliuzwa bei gani? Nyumba iliyouzwa na hiyo yako zina utofauti upi?
Nyumba siyo ya kurithi na wala haihusiki na mgogoro wowotena benki. Mwenye nyumba anataka ahame, akaanze maisha mapya ya vijijini. Bahati mbaya sana hapo mtaani kwake hakuna nyumba iliyouzwa karibuni.