Vituko anavyonifanyia mpenzi wangu

Njia panda ipi sasa wakatikila kitu kinaonekana? Hapo hakunapenzi bibie huna haja ya kufikiria mara mbili, laptop achana nayo tena kaa kimya usimuulizie kitu chochote
 
Asanteni kwa ushauli wenu wapendwa kweli nimefarijika kwa ujumbe mbalimbali mi ni mfanyakazi serikarini .
He was just using you mydia, sasa karibu anamaliza kampata soulmate wake...pole sana
 
Nishapoa mpendwa, ukweli sasa sitauliza hbr za laptop kwani nikizidi itaendelea kuniumiza majib anayonipa sasa ananiambia yeye ni handsome anatongozwa na wanawake kweli ni neno la kumwambia mwenzako? Ila nimefarijika thanx all
 
Nishapoa mpendwa, ukweli sasa sitauliza hbr za laptop kwani nikizidi itaendelea kuniumiza majib anayonipa sasa ananiambia yeye ni handsome anatongozwa na wanawake kweli ni neno la kumwambia mwenzako? Ila nimefarijika thanx all

kwa kweli kama kauli zake ndo hizo huna hata haja ya kuzungumza naye tena.
 
Nishapoa mpendwa, ukweli sasa sitauliza hbr za laptop kwani nikizidi itaendelea kuniumiza majib anayonipa sasa ananiambia yeye ni handsome anatongozwa na wanawake kweli ni neno la kumwambia mwenzako? Ila nimefarijika thanx all
Aliyemwambia mwanaume sura nani,asubiri kuolewa basi.Mi nakushauri fanya kila jitihada umsahau,hiyo ni RED light imekuwakia mapema.My cousin sissy alipata same prob tena yeye ni mke wa ndoa na huyo mwanachuo mwenza na mumewe alikuwa anamfahamu.Ilianza kama hivyo kwako,mwisho akazaa naye.Chondechonde,4get him as soon as you can my dear.Time will tell na utapata the right man muda ukifika.
 
Hahahaha! We umenichekesha unavyomdai huyo mwanaume laptop!
Kama mimi ningekuwa huyo mwanaume ningekudai uroda wangu niliokupa.
Pole mpendwa, usifanye hasira na usiwe mwepesi kufanya maamuzi. Mtafute muongee ana kwa ana.
Mungu akupe ujasiri.
 

mmh!
Unahitaji ushauri nasaha na wewe.
 
so unataka ushauri juu ya kurudishiwa laptop yako au kurudishiwa penzi lako??
 

Naipenda hiyo strategy-you play hard to get! Mara nyingi inalipa, ila kweli uwe na guts, sio unamchunia siku mbili, ya tatu unakumbuka laptop na kumpigia!
 
soma alama za nyakati,majibu yako wazi,laptop nini bwana tafuta nyingine utapata,

ah wapi! Chukua laptop yako kama ni ya kwako, don't just give up! Kama anataka dada mwingine sawa lakini kwa nini aende kuienjoi naye. Don't be a scaredy cat!
 
Mapenzi vionjo! Vumilia mambo yatakua poa, yatakwisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…