Hahahaaaa! Alidhani simu hii ni bullet proof!Screen shot View attachment 656030
hiyo picha imepigwa kutokea juu(aerial photography)mida ya jioni kwaio kivuli kinakua kirefu,kwasababu jua ndio linazama ndio maana kwenye picha ngamia wameonekana wadogo kuliko vivuli vyao[emoji15] [emoji15] [emoji15] how come
Huyu binti nimesomesha sana faceᵇᵒᵒᵏ hadi nieamua potelea mbali.[emoji38] [emoji38] [emoji23]
Popote alipo akamatwe huyo Mama na kufungwa