Huyo wa nyuma ni kapelo amevaa... au sioni vizuri
Unatakwimu lakini
Duh
Sana tuMkuu hapa kunachakujifunza kikubwa sana
Ndio manaa.dini imekataza kula hawa viumbe
Hahhahaahaahhaa hawa wangekua maeneo yetu weshavunjiwa mayai
Hivi mshana hizi simu zipo naweza ipata kama hii?
Yaaani mtu akivaa suti ya njano sijui kwa nini anaonekanaga kituko daima.