Vituko kama hivi huvipati popote zaidi ya Bongo land[emoji1][emoji1]

Hatareeeeee.......hata mimi nimetumiwa hii sms jana usiku lakini kwa jina lingine na nilipopiga ile namba haipokelewi
hizo ni namba za ofisi tu ukipiga hawapokei[emoji1]
 
Si serikali walisema wanalishughulikia suala hili, inakuwaje tena wamekaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…