monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
- Thread starter
-
- #21
Kila la kheri,utafanikiwa!Mkuu zile wanatupa ni makapi
Zile ninazotaka wanauza na wanakuwa na order kabisa
Labda nijaribu msimu huu wa mzee kama mambo yamebadilika.
Hapana Mkuu huwa hawafanyi hivyo!Kuhifadhia nyama kwa kutumia dawa za maiti ili zisiharibike
Hii nilisikia kuwa inafanyika huko Uganda, kwa Bongo sidhani.Hii ya kutumia dawa ya maiti kwenye nyama.Kuna ukweli mkubwa sana ndani yake.Hebu tujiulize,BUTCHER NYINGI HUWA HAZINA MAJOKOFU YA KUHIFADHIA NYAMA.NA MPAKA MUDA WA KUFUNGA UNAKUTA NYAMA NYINGI TU IMEBAKI.JE,HUWA WANAIHIFADHI VIPI?
Kweli Mkuu, hiyo nimeiona sana maeneo mengi.Ili kumsogeza karibu yao msichana wa kazi au mwanamke yeyote wamtakae kila siku ataongezewa nyama na kukatiwa katiwa vizuri. Atapimiwa nyama nzuri kabisa.