Ulidhani??Yaaani daaah🙄🙄🙄😜
Kumepoa kwa kiasi, leo wikendi hakuchangamki sana.Yaani,nimepotea hasa, vipi mzima weye? Naona kumepoa
Niko poa,nimekuja kuwasabai, niliwamiss sanaKumepoa kwa kiasi, leo wikendi hakuchangamki sana.
Nafurahi sana umerudi , tulikumiss haswa.
Mmi mzima sana i hope nawe.
Hi, Huko poa huko ulipo. Nakusalimu
Karibu sana, usitukimbie tena bwana!!Niko poa,nimekuja kuwasabai, niliwamiss sana
Ahsante, Nipo mie, niliwakumbuka hasa, Allah atupe shifaa tuwapo pamoja.Karibu sana, usitukimbie tena bwana!!
Amin, hakika itakua hivyo.Ahsante, Nipo mie, niliwakumbuka hasa, Allah atupe shifaa tuwapo pamoja.
AminAmin, hakika itakua hivyo.
AminAmin, hakika itakua hivyo.
Karibu tena mjukuu. Za kupotea? Umefichwa wapi huko Ludewa au Mzab aliamua kukuwowa?Hi, Huko poa huko ulipo. Nakusalimu
Thanks.mzab hajiwezi,,,,,,,,,mie nipo shamba babuu.View attachment 3095152
Baadaye kidogo!
View attachment 3095153
Karibu tena mjukuu. Za kupotea? Umefichwa wapi huko Ludewa au Mzab aliamua kukuwowa?
Nice to see you back
Mbaki salama nyote,niliwamiss sana, tupo pamoja ,,, In ‘shaaAllah.
Wee mrembo tako skonsi ulipotelea wapi...au ndio watu walishakula wali mchafu.Kumepoa humu, mzabzab nimekumiss,
Unaenda wapi tena mremboMbaki salama nyote,niliwamiss sana, tupo pamoja ,,, In ‘shaaAllah.