Kuna siri unasita kuisema..Binafsi nyama nyama ziko mahala pengine kote ila si kwenye makalio.
Ila hizo zilizopo ambazo nikikaa mifupa ya makalio haiumi, ikitokea bwana baba ameyakamata na kiganja chake chose halafu akafanya kama anafinyanga Tonge la ugali....weeeehhh....!!!
Acha tuu niendelee kusikilizia namna nasikiaga...😊😊😊. Sijui hao wenye makubwa kama wanapata hulka nipatqyo wafanyiwapo hivyo.
Nitaitafuta mwenyewe hiyo🤣🤣Si mnajifanya mnadharau hamsalimii watu ningewaambia saloon ilikoView attachment 3123434
Umeona dalili gani mwamba?
Kuna siri unasita kuisema..
Fumba macho kisha funguka
Una mafumbo jamani☺
Tusiojua lugha ya taifa mnatutesa😁
Funguka