Ukitoka hapo shingo kama swala 🤣🤣🤣
Kama huyo wa Sasa niliyenae aisee kanibana kwenye plaiz hela zinatoka tuu bila ata kulazimishwaAkiingia kwenye anga za mwanamke lazima abananishwe tu😥😥
Ugumu wa mambo huwa unatufikirisha kuliko uwezo wetu 🤣🤣🤣Nwude alikamatwa kwa makosa ya kuuza uwanja wa ndege nchini Nigeria ambao haukuwepo kabisa.