Wajinga ndio waliwao
Huyu jamaa. Dio anatupa ushauti kuhusu afya mbona yeye mwenyewe kadhoofika 🤣🤣🤣🤣 Sasa huyu sii fuvu tuu🤣🤣🤣
Sasa jamani sii mademu ndio watateseka🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Kushinda uchaguzi lazima ujitoe ufahamu 🤣🤣
Ila hawa ni wanywaji na si walevi kama wale wanaoishi kwetu Tabata Aroma🏃♂️🏃♂️
Hafai kabisa.