Ukweli mtupu....huna hela wanakukwepa kama ukoma. Ukiwa na hela wee wagegede alafu tupa kuleView attachment 3143806
Maskini wa JF wanavyoonekana kwenye uzi wa kula tunda kimasihara. Huyu ni mzabzab akiwa na kibamia chake anavyoonekana na mpenzi wake wa mabwepande😀😀😀
Wazeee wa fursa
Tukiwaambia mke wa mtu mtamu mnabisha ...jamaaa kafanya kweli matumizi sahihi ya cheo na hela
Ah kudadeki nakwambia jamaa waniachue nimfire huyo mwanamke ambaye anaitwa mke wangu
😂😂😂😂Ah kudadeki nakwambia jamaa waniachue nimfire huyo mwanamke ambaye anaitwa mke wangu
Mwamba katisha sana japo nadhani ni mgonjwa huyu. Ana sexual addiction; narcistic personality disorder na hata sexual sadism. Na nadhani alikuwa akiwarekodi hawa wanawake bila wao kujua ili baadaye akija kuangalia apate dopamine gratification upya. Na kila mwanamke aliyekuwa akifanikiwa kumpata na kumrekodi kwake ilikuwa conquest ya aina yake. Na kuwarekodi kwake ndiyo hasa ilikuwa thrill yenyewe kuliko hata kuwala.