Staa wa soka kutoka pwani ya kenya Lucy Kweke ameingia kwenye vitabu vya kihistoria kuwa mwanasoka mchanga kujengewa sanamu kama njia ya kumheshimu.

Sanamu hilo ambalo limejengwa katika uga wa M-Pesa Foundation Stadium, liliwekwa na shule yake ya zamani.
 
😭😭😭
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…