Mbona kama umeniona?
Apewe maua yake
View: https://youtube.com/shorts/mT-DKg00lz8?si=G4PSgg0HZZxz9b4r
Kinara wa mauno stejini, kitandani aaahhhh.....!!!😅😅
Mwanamke akuwe na mia tatu sitini na tano na robo red na nyekundu
Akivuruguka ki maisha hata mtoto wake wa kwanza aliyemzaa akiwa na miaka 15 akiongeza miaka 15 mwingine yaani yeye ana miaka 30 na mtoto 15 anagawa dozi hasa kama hana Mungu
Inaitwa Kata funua.
Wahamie Zanzibar sasa🤣🤣