Mshana,hawa viumbe ni wa kuchapa bakora ni wahuni na wafia hela,hakuna aliyefika kariakoo kuponya watu au kutoa msaada wa kiroho,hawapo kufanya kazi ya bure bali wapo kuuza maneno ya bibliaManabii wetu..na wachungaji watenda miujiza tunaomba msogee pale kariakoo
Please !!
Wakatae na sadaka za wavuta bangi,malaya,walevi,wezi,nk tuone kama wataishi