Mke anapakua chakula na mume anapakua chakula
Mjinga sana huyo! Amesoma lakini hajaelimika. Hata Yesu na ukuu wake wote aliokuwa nao hakujikweza. Aliwanyenyekea madogo hadi kuwanawisha miguuMsomi wa Tanzania...🚮
Halafu wajumbe hao hao wa darasa la 7 wakampiga chini 😂
View attachment 3183886
Sheria namba ngapi hiyo wacheni kukurupuka
Hiyo ndio inaitwa kutakatisha pesa
Mgawa zawadi amekasirika huyo
Hata ingekuwa ni wewe usingeacha kulia. Mjomba anatisha kama jini!
Vipi daktari? Unaangalia mahali pa kuchoma sindano?
Mjitokeze kwa wingi mkapige pesa ya reja reja hiyo🤣🤣
Anafanana na Yerricko Nyerere
Mbakaji, hamna Daktari hapoVipi daktari? Unaangalia mahali pa kuchoma sindano?