my dada numbisa upo??naona vitu vyako
Duuuh huyu dogo namjua
Toobaaaa ni lisisiemu hilo au?
Njia ya kwenda Pandahill si ndio? I miss those daysDuuuh huyu dogo namjua
Ila alicho andika duuuh
Soko mjinga wao wanapenda kuita kona ya magereza
Ipe caption basi hii picha,itapendeza sana
Ndio hiyo hiyo uliwahi kwenda pandahili nini ?Njia ya kwenda Pandahill si ndio? I miss those days
hizo me cjaelewa aseeeee
Yeah napajua vyema! Nmesoma paleNdio hiyo hiyo uliwahi kwenda pandahili nini ?
anajishughulisha na kaz ganiDuuuh huyu dogo namjua
Ila alicho andika duuuh
Soko mjinga wao wanapenda kuita kona ya magereza
Kinyozi na huwa ana kuimba imba japo kwa sasa sijui kama bado anaimbaanajishughulisha na kaz gani