I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Kwa sababu ni weakness ya wanaume walio wengi mkuu.
Yaani wanakua dhaifu wa muundo huoKwa sababu ni weakness ya wanaume walio wengi mkuu.
Hii ni baridi ya mbeya na iringa
ππ ndivyo ilivyo mkuu si unajua binadamu hatufanani?? Wengine udhaifu wao kwa wanawake ni chura, wengine sura, wengine tabia, wengine vyote kwa pamoja. Jaribu kufanya utafiti utagundua ninachosema.
ππkweli hilo gari lina sura mbaya siyo siri. Ila ujumbe umefika.
Duh aiseee basi yalimpata majanga
Hahaaa siwez kukwambia hapajukwaani uskute tunaye humu
ππππππsponsor kaharibu mapenzi yangu na mpira yanView attachment 1005723
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nayo kali!!!