Mkuu kuna watu wanasayansi zao za kubadili hivyo. Just imagine michembe ni nyeupe wakati matobolwa yana rangi zake tofaut na nyeupe huku vyote vikiwa vimetengenezwa toka kwenye zao la viazi vitamu
So kweli mkuu....
Nmekula sana ugali wa mhogo kwetu haujawahi kuwa mweusi hvyo. ..
Hata wa ndizi haujawa mweusi hvyo hata wa ngano pia haujawa hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…