FAHAMU: Hii nyumba ipo wilayani Mkinga(Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Chumba kimoja kipo Kenya na chumba kingine kipo Tanzania (aliposimama NW Dkt. Damas Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya na askari wa Tanzania hawamfanyi kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…