Mfalme alitaka kujua idadi ya makahaba ktk mji wake akawaambia wajipange foleni kuhesabiwa.
wakapanga mara bibi kizee akapita akamuona mjukuu wake katika foleni akamuuliza kuna nini
hapa? mjukuu akamwambia "mfalme anagawa maembe bibi"
Bibi akaunga foleni kwa uroho wa maembe.
mfalme alipomfikia bibi akamuuliza hata wewe bibi? Bibi Akamjibu "mie tena ndio mtaalamu hadi kokwa
nanyonya"
mfalme akapoteza fahamu... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…