Dah!!hivi hapa si zimechomwaBaada ya koro show kurudishwa wakulima waamua wazi hakiki ili kuunga mkono juhudi za mh kuwa hatukubali zirudi vyuma vimekazaView attachment 1032282
Dah!![emoji23][emoji23][emoji23]imebidi tu nicoment,kuna watu wanamajibu sana
Pumbavu kabisaaa
Jamani mnaniua kwa kucheka. Kila post inaniumiza kifua ila siwezi acha ingia kwenye huu uzi. Hongera kwa post. Mimi huwa sijui kupost na sina vituko.
Huyu alitaka kuiba kilichofichwa au?[emoji23][emoji23][emoji23]cheusi mangala buana
Jr[emoji769]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha...Mzee nguvu hana..dogo yuko kamili ile nganganga...
Huo mkono Ni auto auger[emoji23][emoji23][emoji23]pengine huo mkono una sensor ya compaction
Jr[emoji769]
Hiki tayari N kitukoJamani mnaniua kwa kucheka. Kila post inaniumiza kifua ila siwezi acha ingia kwenye huu uzi. Hongera kwa post. Mimi huwa sijui kupost na sina vituko.
Simu inayochajishwa hapo.Numbisa sijaelewa