ivi ata uyu raisi wetu si msuukuma au nimimi nakosea
Sijaelewa jaman nitafsirieni hapa ubashite unanizengua[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwamba huyo jamaa anawaza sana chura mpaka ndio zimeonekana kwenye sperm zake au n nn[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo ni ile hata punda afe ila mzigo lazima ufike
Impreza inantoaga roho
Daaaaah hahahahahahaZimekaa ndani mpaka zimezeeka nakugeuka vyura