Eff off.Wewe kila siku unatumia huduma za branch hiyo hiyo moja?
Mataga mkubwa we
Huyo inaonekana ni mtoto wa olevel so huwa analipia ada branch hiyo hiyo moja miaka minne
Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Ndio kazi yao kuhudumia wateja wenye shida mbalimbali na haiba tofauti tofauyiJapokua nasisi wateja wakati mwingine tunawakwaza ila wanapaswa tuu kutuchukulia na kutupa huduma nzuri
Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Hayo maswali jibu wewe maana hamna sehemu nimelazimisha mtu awe na bank moja. Hio ni experience yangu. Pamoja na kusema wahudumu Wana huduma mbovu ila Wabongo wengi pia wako hivyo hivyo,dharau kejeli kwenye kazi za watu, michango ya humu ni ushahidi.Sipingi mawazo yako ila sina hakika kama ulichoandika umekisoma kabla ya kupost, ivi kwenye nyakati hizi unawezaje kumlazimisha mtu kuwa na benki moja? Kwanini niwe na mtu maalumu wakunihudumia? Ukiwa mikoani utasafiri naye? Kinachotakiwa nikuwaonya mimi siwakawizi ukinijibu ovyo nitakushughlikia apoapo sikukawizi maana awa ni vijana wetu lazima tuwasaidie hawajui watendalo.
Sent using Jamii Forums mobile app
It doesn't cost you an arm and a leg to be humble,friendly and civil.Sasa huu ndo ujinga wa watanzania.
Yaani hupewi huduma Bora mpaka ujulikane ama ujichekeshechekeshe kwa muhudumu.
Kuna haja gani kutafuta urafiki wa kujipendekeza kwa muhudumu njaa wa benki kisa nipate huduma? Hii nayo ni aina ya rushwa.
Kama huduma ziko standard a watu wanaju kwa nini wako pale ,hakuna haja ya kufahamiana sijui kwa majina ama meneja, labda ishu inayohitaji utatuzi ambao ni some how personal.
Huu ni udhaifu wa watu waoga na wavivu kufuatilia haki zao. Uoga huu huwafanya kujiweka chini ya watoa huduma ili kupata favour.
Binafsi huwa sitakagi ujinga, jambo kubwa huwa ni kutambua wajibu wangu kama mpokea huduma na pia kufahamu wajibu wa mtoa huduma kwangu sihitaji urafiki hapo.
Nikigundua unaniletea nyodo, mbwembwe,urasimu ama upumbavu wowote kinyume cha wajibu wako huwa sikawii kukufanya ujute.
Kujiamini,exposure, uelewa watanzania wengi hawana na ndio sababu ya kuuziwa haki zao .
Waswahili hii tabia ya kut
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo umeongea pumba kama za bashite kubali kurekebishwa. Kubali huna exposure, mashirika (mostly ya nchi za nje) yanayojua maana ya personal selling yana a very better customer service system ambayo inafocus kuretain exisiting customers na kuattract new customers altogether. Sasa wewe unajisifu kujipendekeza ili upate huduma ambayo ni haki yako.Eff off.
Pole.Dogo umeongea pumba kama za bashite kubali kurekebishwa. Kubali huna exposure, mashirika (mostly ya nchi za nje) yanayojua maana ya personal selling yana a very better customer service system ambayo inafocus kuretain exisiting customers na kuattract new customers altogether. Sasa wewe unajisifu kujipendekeza ili upate huduma ambayo ni haki yako.
Daaah yani JF kuna kila aina ya viumbe na hivi tunaficha ID zetu basi unajitungia chochote unapostWanaangalia kuanzia kiatu chako hadi nguo. Kama umevaa vibaya dharau zinakuhusu. Huwezi amini ukiwa smart sana unaweza kumng'oa mwanamke yeyote hata waziri. Kuna siku mbunge fulani wa kike alitaka kujichanganya kwangu kisa nguo zangu tu.
Hizo likes kwani zinaliwa??!!mana kila mahala watu wanapambana kuzipata[emoji54][emoji54][emoji54]Wadada sio watu kabisa unapigwa huku unajiona
Siwateti, ila kama nikweli nipeni likes
post using my macbook air using jamiiforums app
It doesn't cost you an arm and a leg to be humble,friendly and civil.
No matter what Effective and Satisfactory Customer service ni Muhimu sana achana na Kujuana na walinzi na mambo ya mishaharaHata wewe unachoandika hapa naona blah blah na kuleta dharau za mishahara ya watu. Wewe vipi unalipwa bilioni kwa mwezi?