Vituko na vioja vya wadada wa benki

Kuna mfanyakaz yeyote wa kike ktk hio benk unayoenda umempiga dudu?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chezea nguvu ya maku wewe. Yaani wanasahau kabisa kuwa mteja ndiye anayempeleka msalani coz anajua hata afanye nini boss hasemi lolote maana anapona hapo. Wa CRDB ndio wamezidi mno aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu nilienda kulipia manispaa ya kinondoni, ss ndani mule kuna crdb, basi nikakaa foleni wee kuja kutahamki kumbe system imegoma transfer hazifanyiki basi huyooo kwa uzoefu wangu mdogo nikaenda kwa wahasibu nilipie kwa cash, wakanijibu kistaarabu kwamba hawawezi kupokea cash mpaka bank wawataarifu, nikarudi bank nikaingia na kumwambia 'bi teller', waambieni basi kule watupokelee cash...weweee alivyonijibu kwa nyodo na dharau eti 'nani kakupa ruhusa kuenda kule'...mama mama mama wee kilichomkuta naona aliniota usiku, nilimbadilikia ghafla nilimfokea km mbwa nikamwambia hela yangu ndo inakuweka hapa so uwe na adabu nikampaka vzr sana alinywea km mchicha uliochemshwa!
 
Hahah...unachosema ni kweli kabisa. hata mimi ndo utaratibu wangu. kila Bank ninayoenda lazima ni-recruit marafiki na tips za hapa na pale. yaani kama naenda Bank nampigia simu ananijazia bank slip na mimi naenda kumalizia signature. mpaka branch manager wanakuwa washikaji kwani nilikuwa nawatoa tips. sometimes nilikuwa nampigia manager achukue hela kwenye A/C yangu ampe teller aniletee ofisini......ukiwajuana na watu raha sana...
 
Sasa unafikiri kila mtu ana muda wa "kufahamiana" na mtoa huduma wa ofisi wa kila taasisi anayopita? Wengine muda ni mali na tunazo ofisi zetu pia nazo zina viyoyozi kama za hao bank tellers wenye nyodo na hata kama hazina viyoyozi zinalipa vyema kuliko visenti vyao uchwara na bado tunawaletea biashara na hatuna nyodo. By the way ni miongozo ya bank gani inaagiza ili upate huduma nzuri (ambayo ni haki yako) ni lazima uwe na urafiki na hao mahousegirl wao (bank tellers sijui)? Nakosa muda hata wa kumpigia mama mzazi nianze kupoteza muda kujipendekeza kwa KIMA ambaye hana adabu na bila mimi hana sababu ya kuwepo hapo alipo? Wajiheshimu na kuheshimu wateja bhana, heshima kitu cha bure na kwenye kazi kama zao ni kitu cha LAZIMA hata kama ana ugomvi na bwana wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU WAKATI MWINGNE DHARAU ZNATOKANA NA AKAUNT INAVYOSOMA, KAMA BALANCE NI M 5 WANAKUONA KAPUKU TU

ILA AKAUNTI INA M 100 NA KUENDELEA HUKO, OH, MBNA HATA KWENYE CM ATAKUWA ANAKUTAFUTA NA HUDUMA UTAPEWA KWA SAUT YA MAPENZ NA MACHO YA KULEGEA.
 
Sasa mpaka ufahamike ndio upatiwe heshima yako ! Hii haijakaa sawa
 
Mkuu inategemea na wewe unajitambua vip.Mimi ninavyojitambua hao watumishi wa Benki hawathubutu kunizingua,labda kama hawataki kazi!
Haaaaa Mkuu unaonekana unaweza fukuzisha mtu kazi
 
Reactions: JMF
Kweli mkuu customer care hovyo sana
 
Aiseee mkuu umetisha Mimi nilivyo mwoga ningenywea tu haaa
 
Huo sio utaratibu kaka mnavunja kanuni but hongera zako
 
Naunga mkono 100%
 
MKUU WAKATI MWINGNE DHARAU ZNATOKANA NA AKAUNT INAVYOSOMA, KAMA BALANCE NI M 5 WANAKUONA KAPUKU TU

ILA AKAUNTI INA M 100 NA KUENDELEA HUKO, OH, MBNA HATA KWENYE CM ATAKUWA ANAKUTAFUTA NA HUDUMA UTAPEWA KWA SAUT YA MAPENZ NA MACHO YA KULEGEA.
Haaaaaa na sie wa 30000cr je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…