Hahahahah money p hakuambiwa ana wivu maana ukisema kitu humu unaonekana una wivu ,,my baby ananiweka busy mpaka napitwa ubuyu lo
Ewaaaaa hivyo hivyo au jaman wanaume wenzangu naomba mnisaidie shemeji yenu analalamika nawahi haraka kukojoa khaaaaa watu wanayaweza ndio ya huyo mkaka dada tena me nilikuwa naelewana nae sababu ya thread zake anazoleta za mastory sasa hivi nabaki kumshangaa tu kuna siku nilimquote kwahiyo umeshabadirika jinsia umeshakuwa mwanamke tena hajanijibu nikamwambia ni jf pekee wanaume wanabadirika jinsia tokana na mazingira
Halafu kumbe watu wanaonaga bwana. [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo huyo hivi ni jinsia gani mana anabadilika badilika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan mjukuu wa chifu ananishangaza sana kipindi yupo mwanaume alikuwa mshkaji wangu sana nilikuwa nafatilia sana thread zake toka awe mwanamke ushkaji umeisha hata nikimuuliza kwahiyo umebadilika jinsia hanijibu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu aliwahi sema husband material ni wanajeshi sasa sijui yule braza ni Mjeda?
Inawezekana tusimlaumu sanaLabda njia mpya ya kujiingizia kipato mjini
Sikuiz Anaitwa Cha Mdeko
Charm decor
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini si inasomeka hivyo hivyoShukran Kwa Masahihisho
Herufi Zimebadilika Shunie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini si inasomeka hivyo hivyo
Mbona ameshatajwa kuna post utakuwa umeruka ebu panda kidogoAiseee nataman kumfahamu huyo mkaka
Ndiwoooo watu wanamchora tu yaanHalafu kumbe watu wanaonaga bwana. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umecheka mpaka na me inabidi nicheke tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kama lakini inasomeka neno mojaHerufi Zimebadilika Shunie
Vinachekesha sana wakunyumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umecheka mpaka na me inabidi nicheke tu
Labda Mhusika Aliona MapungufuHata kama lakini inasomeka neno moja
Mzigua nna shida pm inagoma sijui ndo umeifungaHalafu kumbe watu wanaonaga bwana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Charm decor[emoji23] according to mshana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini si inasomeka hivyo hivyo
Vinachekesha sana wakunyumba
Muelekeze kufunga pmMzigua nna shida pm inagoma sijui ndo umeifunga
Mwenye ushungiMbona ameshatajwa kuna post utakuwa umeruka ebu panda kidogo
Labda Mhusika Aliona Mapungufu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea mapenzi woiiiiCharm decor[emoji23] according to mshana