No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,785
Wadau wa michezo yote hapa karibuni,kama umewahi shuhudia kituko cha aina yeyote uwanjani ambacho kilikuwacha mdomo wazi tushare pamoja jukwaa lichangamke kidogo...Mimi niliwahi shuhudia mchezaji wakati anacheza mpira buktaikamuanguka...Dah! Hatari sana