Vituko vya baadhi wa watu humu

Vituko vya baadhi wa watu humu

Kuna watu humu wanajifanya wanajua kila kitu

Mpaka uwa najiuliza watu wa jamii forum wakianzisha nchi yao si tutakuwa Kama Marekani ndani ya miaka 3.

Mtu yupo humu anaongelea mabilioni kutana naye sasa kachoka balaa

Fake life Kuna mwana jamii forum mmoja nilikutana naye baa nikamjua baada ya story kwamba ni member baada ya muda akaanza kuangaika nikamwambia tulia nikampa bia wee kumbe alikuwa anaenda sehemu ambayo ikishafika usiku nauli inapanda anaunganisha magari

Ikabidi anitoe saa5 duh kumbe nauli ilikuwa haitoshi ikabidi nimsindikize mpaka maeneo ya kwao baadae nilivyokuja tafakari I'd yake humu nikagundua

Wabongo wengi ni fake fake fake

Mimi binafsi uwa Sina uwezo wa kujibishana na matusi

Ukiniita pimbi nami nitakuita pimbi

Tuvumiliane hapa kila mtu ana mawazo huru
 
Akiiandika mwenzio ooh upuuzi,utoto,ujinga,huna akili,ukiandika wewe mali,akili,safi sana,material.acheni hizo,jifunzeni kuvumilia na kumezea tu usipopenda alichooandika mwenzio
Binadam tunatofautiana hulka, hivo lisikupe shida.

Mfano mimi nikifanya jambo ukanisifia huboreka sana bt kuna watu usipowasifia pia huboreka.
 
Humu watu wote wana akili ni magenius, matajiri, wako perfect kuanzia kwenye mahusiano , kwenye jamii zao , Koo zao.... Humu watu wanajua na ni wafanyabiashara kubwa kubwa hawana shida ndogo ndogo Wana exposure lakini kiuhalisia ni masikitiko.
 
Kuna watu humu wanajifanya wanajua kila kitu

Mpaka uwa najiuliza watu wa jamii forum wakianzisha nchi yao si tutakuwa Kama Marekani ndani ya miaka 3.

Mtu yupo humu anaongelea mabilioni kutana naye sasa kachoka balaa

Fake life Kuna mwana jamii forum mmoja nilikutana naye baa nikamjua baada ya story kwamba ni member baada ya muda akaanza kuangaika nikamwambia tulia nikampa bia wee kumbe alikuwa anaenda sehemu ambayo ikishafika usiku nauli inapanda anaunganisha magari

Ikabidi anitoe saa5 duh kumbe nauli ilikuwa haitoshi ikabidi nimsindikize mpaka maeneo ya kwao baadae nilivyokuja tafakari I'd yake humu nikagundua

Wabongo wengi ni fake fake fake

Mimi binafsi uwa Sina uwezo wa kujibishana na matusi

Ukiniita pimbi nami nitakuita pimbi

Tuvumiliane hapa kila mtu ana mawazo huru
good
 
Humu watu wote wana akili ni magenius, matajiri, wako perfect kuanzia kwenye mahusiano , kwenye jamii zao , Koo zao.... Humu watu wanajua na ni wafanyabiashara kubwa kubwa hawana shida ndogo ndogo Wana exposure lakini kiuhalisia ni masikitiko.
kabisa
 
Akiiandika mwenzio ooh upuuzi,utoto,ujinga,huna akili,ukiandika wewe mali,akili,safi sana,material.acheni hizo,jifunzeni kuvumilia na kumezea tu usipopenda alichooandika mwenzio
Mie hakuna point yoyote ya maana itazungumza na mtu wa CCM, wote ni empty set. Full stop
 
Acheni kufuatilia sana watu, kuweni busy na mambo yenu.

Sidhani kama kuna member analipwa hapa JF.
 
Back
Top Bottom