Vituko vya barabani

Vituko vya barabani

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Mimi kwa sasa ni babu,mara nyingi hupenda kutembea kwa miguu,umbali mrefu,

Sasa njiani huwa nakutana na wanafunzi ambao hunifatilisha navyotembea huku wananiambia we babu shikamoo,basi naitika wanacheka kwa kwa kwa kwa,basi mie napotezea tu
 
Mimi kwa sasa ni babu,mara nyingi hupenda kutembea kwa miguu,umbali mrefu,

Sasa njiani huwa nakutana na wanafunzi ambao hunifatilisha navyotembea huku wananiambia we babu shikamoo,basi naitika wanacheka kwa kwa kwa kwa,basi mie napotezea tu
Kimbia fasta maana unaonekana una nyota ya jela na Gereza(Wanafunzi) linakuita kimya kimya.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom